Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Kutokana na msimamo usioteteleka alionao Dk. Kitila mkumbo katika kuwatetea wananchi......pasipo kuogopa kunyimwa mkataba kama ilivyo kwa Baregu na Rwaitama............ameombwa na wananchi agombee jimbo la Iramba magharibi ili ashirikiane na Tundu Lissu kwa Ukaribu ili kuahkikisha Iramba yote inaendelea.
Ikumbukwe kuwa kwa sasa Mbunge wa Iramba Magharibi ni Mwigulu Nchemba ( Mchumi 1[SUP]st[/SUP] Class!!)
Ikumbukwe kuwa kwa sasa Mbunge wa Iramba Magharibi ni Mwigulu Nchemba ( Mchumi 1[SUP]st[/SUP] Class!!)