Wananchi Sumbawanga wamwita Magufuli, jembe

Wananchi Sumbawanga wamwita Magufuli, jembe

hugochavez

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,907
Reaction score
1,009
hiyo imetokea wakati mabarabara anaenda kuzindua barabara iliyojengwa kwa kiwango cha lami kuunganisha mikoa ya rukwa, mbeya na mikoa ya jirani huku ikiwaondolea wananchi adha ya muda mrefu ya kuteseka kwa kukosa usafiri. magufuli amewataka wananchi kuitunza barabara hiyo na kuwashauri kuchangamkia fursa mpya zitakazojitokeza.
source; tbc habari jioni hii
 
Yeah! you are right. Hilo kweli ni jembe linalohitaji kuingiziwa mpini kisawasawa
 
Back
Top Bottom