Ufisadi uliotingisha bunge katika wizara ya Nishati na Madini - Kwa nini hao mawaziri wasijiuzulu?
Inaonekana hawa mawaziri wana nguvu inayowalinda
Licha ya wananchi wa mijini kuchoka migao ya umeme, hali ngumu ya maisha pia Wakulima (wananchi wa vijijini) kutokana na mafuta taa kupanda bei.
Bei kubwa ya mafuta taa imefanya maisha kuwa magumu sana vijijini.
Hata huku mjini, hakuna umeme watu wanategemea mafuta taa, ila bei imepanda maradufu.
Wakati huo huo JK hana habari na shida za watanzania.
Inaonekana hawa mawaziri wana nguvu inayowalinda
Licha ya wananchi wa mijini kuchoka migao ya umeme, hali ngumu ya maisha pia Wakulima (wananchi wa vijijini) kutokana na mafuta taa kupanda bei.
Bei kubwa ya mafuta taa imefanya maisha kuwa magumu sana vijijini.
Hata huku mjini, hakuna umeme watu wanategemea mafuta taa, ila bei imepanda maradufu.
Wakati huo huo JK hana habari na shida za watanzania.