Wananchi wanao ishi pembezoni mwa hifadhi wamekuwa wakorofi na mara nyingi wamekuwa wakiingiza mifugo kwenye hifadhi kwa maksudi,. Sasa wakiodolewa na kufanya ukaidi ni lazima Askari wa Tanapa watembeze kichapo na kuzuia mifugo.
Nashangaa wanao laumiwa ni maafisa Tanapa na kupuuza ukorofi unao fanywa na wananchi kwa kuingiza mifugo kwenye hifadhi.
Askari wa Tanapa wanasimamia Sheria tuwaache wasimamie Sheria
Nashangaa wanao laumiwa ni maafisa Tanapa na kupuuza ukorofi unao fanywa na wananchi kwa kuingiza mifugo kwenye hifadhi.
Askari wa Tanapa wanasimamia Sheria tuwaache wasimamie Sheria