Mbunge wa Mbarali aadhibiwe kwa kulidanganya Bunge na Taifa kwa ujumla

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,150
7,728
Mbunge wa mbarali Mzee Francis wiki iliyo pita trh 10/5/2023 alitoa taarifa Bungeni kuwa Askari wa Tanapa wamewapora wananchi wa mbarali mifugo Yao zaidi ya ng'ombe 200, jambo lililo pelekea waziri Mkuu kutoa maelekezo.

Jana trh 13/5 kwenye taarifa ya habari Azam utv waziri wa maliasili alikanusha kuwa hakuna mfugo hata mmoja ulioporwa na Tanapa, wananchi pia wamekanusha uvumi huo ulio tolewa na Mbunge!!!!

Sasa swali la kujiuliza, ni kwa Nini Mbunge alisimama Bungeni na kulidanganya Bunge na kuzua taharuki?!

Kama alikuwa hana habari za uhakika kwa Nini asinge jiridhisha kwanza?! Kwa Nini asingejadiliana na viongozi kwanza badala ya kupwayuka?!

Badala ya kuwakemea wananchi wanao vunja Sheria na kuingiza mifugo hifadhi tunaanza kuwalaumu Askari wa Tanapa walio pewa majukumu ya kulinda hifadhi zetu!!!!

Tuache huu unafiki, tunawaomba Tanapa wasiwachekee wananchi wanao vunja Sheria za hifadhi, wakikaidi wapeni kibano na wapelekeni kwenye vyombo vya Sheria.

Tunamuomba Spika wa Bunge atoe adhabu kwa Mbunge huyu kwa kuzusha taarifa ambazo sio sahihi, alidai wananchi wameporwa ng'ombe zao na baadhi Yao wanataka kujiuwa!?

hoja yangu imejikita kwenye tuhuma ya WANANCHI KUPORWA NGOMBE 200 kama ilivyo daiwa na Mbunge kuwa tuhuma hizo sio za kweli ni uzushi na hivyo nimeomba Mbunge huyo adhibiwe kwa uzushi.

Hatuwezi kwenda kwa kubembelezana wala kuchekeana.


 
Uliangalia taarifa za Habari za station gani asee. Mbona hiyo ITV walisema waliwapiga watu na waliwahoji kabisa wananchi na walisisitiza kupigwa na mapanga ya moto.

Mbona waziri mwenyewe alikuwa site na hadi akamuagiza katibu mkuu wa wizara awachukulie hatua Hao wa tanapa?
 
Mbunge wa mbarali Mzee Francis wiki iliyo pita trh 10/5/2023 alitoa taarifa Bungeni kuwa Askari wa Tanapa wamewapora wananchi wa mbarali mifugo Yao zaidi ya ng'ombe 200, jambo lililo pelekea waziri Mkuu kutoa maelekezo.

Jana trh 13/5 kwenye taarifa ya habari Azam utv waziri wa maliasili alikanusha kuwa hakuna mfugo hata mmoja ulioporwa na Tanapa, wananchi pia wamekanusha uvumi huo ulio tolewa na Mbunge!!!!

Sasa swali la kujiuliza, ni kwa Nini Mbunge alisimama Bungeni na kulidanganya Bunge na kuzua taharuki??!!

Kama alikuwa hana habari za uhakika kwa Nini asinge jiridhisha kwanza?!!

Kwa Nini asinge jadiliana na viongozi kwanza badala ya kupwayuka?!!!

Tunamuomba Spika wa Bunge atoe adhabu kwa Mbunge huyu kwa kuzusha taarifa ambazo sio sahihi, alidai wananchi wameporwa ng'ombe zao na baadhi Yao wanataka kujiuwa!!!!?

Haipendezi mtu mzima kuzusha taarifa.




Hata RICHMOND serikali na mawaziri walikanusha lakini kamati ikaundwa na shughuli ikajulikana.

Makanusho ya waziri ni danganyatoto
 
Uliangalia taarifa za Habari za station gani asee. Mbona hiyo ITV walisema waliwapiga watu na waliwahoji kabisa wananchi na walisisitiza kupigwa na mapanga ya moto.

Mbona waziri mwenyewe alikuwa site na hadi akamuagiza katibu mkuu wa wizara awachukulie hatua Hao wa tanapa?



Hakuna mwananchi aliye porwa mifugo,
Wananchi wamekanusha kuwa hawajaporwa mifugo kama ilivyo daiwa na Mbunge Mzee Francis kuwa eti wananchi wameporwa ng'ombe 200!!! na kudai eti mwananchi mmoja anataka kujiua kwa kuporwa ng'ombe!!!!!!!
Huuu ni uzushi ulio pitiliza!!

Wabunge wetu wamekuwa wazushi na kutia chumvi baadhi ya mambo, sijui ni kwa Nini!!!!
 
Wananchi wa mbarali na maeneo mengine ambayo wamepakana na hifadhi ni wakorofi.

Mfano wananchi wa mbarali wamepewa hektq 900 za kufanyiw malisho lkn bado wanaingiza mifugo Yao kwenye hifadhi halafu unataka Askari wa Tanapa wawachekeeee!!!!!!


Ni lazima kwanza tuwakemeee wananchi wanao vunja Sheria za uhifadhi kwa maksudi, kamwe tusiwadekeze.



 
Mbunge wa mbarali Mzee Francis wiki iliyo pita trh 10/5/2023 alitoa taarifa Bungeni kuwa Askari wa Tanapa wamewapora wananchi wa mbarali mifugo Yao zaidi ya ng'ombe 200, jambo lililo pelekea waziri Mkuu kutoa maelekezo.

Jana trh 13/5 kwenye taarifa ya habari Azam utv waziri wa maliasili alikanusha kuwa hakuna mfugo hata mmoja ulioporwa na Tanapa, wananchi pia wamekanusha uvumi huo ulio tolewa na Mbunge!!!!

Sasa swali la kujiuliza, ni kwa Nini Mbunge alisimama Bungeni na kulidanganya Bunge na kuzua taharuki?!

Kama alikuwa hana habari za uhakika kwa Nini asinge jiridhisha kwanza?!

Kwa Nini asinge jadiliana na viongozi kwanza badala ya kupwayuka?!

Tunamuomba Spika wa Bunge atoe adhabu kwa Mbunge huyu kwa kuzusha taarifa ambazo sio sahihi, alidai wananchi wameporwa ng'ombe zao na baadhi Yao wanataka kujiuwa!?

Haipendezi mtu mzima kuzusha taarifa.


Apewe adhabu na nani wakati hilo bunge lenyewe zaidi ya nusu wako humo ndani kwa kupora uchaguzi? Yaani bunge la majizi ya kura litoe adhabu kwa mbunge kusema uongo, wakati wengi huko bungeni wako kwa njia chafu?!
 
Hakuna mwananchi aliye porwa mifugo,
Wananchi wamekanusha kuwa hawajaporwa mifugo kama ilivyo daiwa na Mbunge Mzee Francis kuwa eti wananchi wameporwa ng'ombe 200!!! na kudai eti mwananchi mmoja anataka kujiua kwa kuporwa ng'ombe!!!!!!!
Huuu ni uzushi ulio pitiliza!!

Wabunge wetu wamekuwa wazushi na kutia chumvi baadhi ya mambo, sijui ni kwa Nini!!!!
Acha kutetea dhuluma RC ameenda huko mwenyewe na kuthibitisha hilo na kusema askari wa tanapa waliohusika wakamatwe
 
Mbunge wa mbarali Mzee Francis wiki iliyo pita trh 10/5/2023 alitoa taarifa Bungeni kuwa Askari wa Tanapa wamewapora wananchi wa mbarali mifugo Yao zaidi ya ng'ombe 200, jambo lililo pelekea waziri Mkuu kutoa maelekezo.

Jana trh 13/5 kwenye taarifa ya habari Azam utv waziri wa maliasili alikanusha kuwa hakuna mfugo hata mmoja ulioporwa na Tanapa, wananchi pia wamekanusha uvumi huo ulio tolewa na Mbunge!!!!

Sasa swali la kujiuliza, ni kwa Nini Mbunge alisimama Bungeni na kulidanganya Bunge na kuzua taharuki?!

Kama alikuwa hana habari za uhakika kwa Nini asinge jiridhisha kwanza?! Kwa Nini asingejadiliana na viongozi kwanza badala ya kupwayuka?!

Badala ya kuwakemea wananchi wanao vunja Sheria na kuingiza mifugo hifadhi tunaanza kuwalaumu Askari wa Tanapa walio pewa majukumu ya kulinda hifadhi zetu!!!!

Tuache huu unafiki, tunawaomba Tanapa wasiwachekee wananchi wanao vunja Sheria za hifadhi, wakikaidi wapeni kibano na wapelekeni kwenye vyombo vya Sheria.

Tunamuomba Spika wa Bunge atoe adhabu kwa Mbunge huyu kwa kuzusha taarifa ambazo sio sahihi, alidai wananchi wameporwa ng'ombe zao na baadhi Yao wanataka kujiuwa!?

Hatuwezi kwenda kwa kubembelezana wala kuchekeana.

Huo mbunge aadhibiwe.
 
Acha kutetea dhuluma RC ameenda huko mwenyewe na kuthibitisha hilo na kusema askari wa tanapa waliohusika wakamatwe
Sijatetea dhuluma ila hoja yangu imejikita kwenye tuhuma ya WANANCHI KUPORWA NGOMBE 200 kama ilivyo daiwa na Mbunge kuwa tuhuma hizo sio za kweli ni uzushi na hivyo nimeomba Mbunge huyo adhibiwe kwa uzushi.


Wananchi walio pigwa walikutwa ndani ya hifadhi wakiwa wamejihami kwa marungu....na mapanga sasa unategemea waondolewe kama vile wamekutwa chooni!!!!??

Watanzania zaidi ya milioni 30 tunategemea mapato kutoka ktk hifadhi zetu hivyo hatuwezi kukubali wananchi wachache wanataka kutumwamisha kwa kuvunja Sheria za hifadhi...tuwachekeee, tuwabembeleze.
 
Mbunge alisema Bungeni eti

" ........wananchi wameporwa ng'ombe zao jumla. Ya ng'ombe 200 zimeporwa na Askari wa Tanapa na ali3ndelea kulidanganya Bunge kwa kusema kuwa mmoja wa wananchi ameathirika kisaikolojia kwa kuporwa ng'ombe wake na hivyo anataka kujiua lakini kwa sasa kashikiliwa na wananchi""...........
 
Wanaachaje kukanusha na wamelipwa ili wafanye ivo...Ref ule mgao wa Mil 5
Hakuna mwananchi aliye porwa mifugo,
Wananchi wamekanusha kuwa hawajaporwa mifugo kama ilivyo daiwa na Mbunge Mzee Francis kuwa eti wananchi wameporwa ng'ombe 200!!! na kudai eti mwananchi mmoja anataka kujiua kwa kuporwa ng'ombe!!!!!!!
Huuu ni uzushi ulio pitiliza!!

Wabunge wetu wamekuwa wazushi na kutia chumvi baadhi ya mambo, sijui ni kwa Nini!!!!
 
Hakuna mwananchi aliye porwa mifugo,
Wananchi wamekanusha kuwa hawajaporwa mifugo kama ilivyo daiwa na Mbunge Mzee Francis kuwa eti wananchi wameporwa ng'ombe 200!!! na kudai eti mwananchi mmoja anataka kujiua kwa kuporwa ng'ombe!!!!!!!
Huuu ni uzushi ulio pitiliza!!

Wabunge wetu wamekuwa wazushi na kutia chumvi baadhi ya mambo, sijui ni kwa Nini!!!!
Onesha ushahidi wa Wananchi wakiwa wanakataa, kama ulivyoonesha ushahidi wa mbunge wao akiwasilisha hoja.

Maana tulioanhalia ITV Wananchi wamelalamika Sana kunyanyasika na kupiga hadi wakahoji kama ni Burundi au Tanzania? Wewe mwenzetu tuoneshe hao waliokanusha usiwe unawalisha maneno.
 
Onesha ushahidi wa Wananchi wakiwa wanakataa, kama ulivyoonesha ushahidi wa mbunge wao akiwasilisha hoja.

Maana tulioanhalia ITV Wananchi wamelalamika Sana kunyanyasika na kupiga hadi wakahoji kama ni Burundi au Tanzania? Wewe mwenzetu tuoneshe hao waliokanusha usiwe unawalisha maneno.

Hakuna mwananchi aliye lalamika kuporwa ng'ombe 200 kama ilivyo daiwa na Mbunge bali baadhi ya wananchi walio kutwa hifadhini walidai kupigwa na Askari wa Tanapa sio kuporwa mifugo Yao kama ilivyo daiwa na Mbunge Mzee Francis.

Wananchi wote walio husika walihojiwa na kukana madai ya kuporwa mifugo Yao!!

Hoja ninayo izungumzia hapa ni kuporwa mifugo 200 sio kupigwa.
 
Hakuna mwananchi aliye lalamika kuporwa ng'ombe 200 kama ilivyo daiwa na Mbunge bali baadhi ya wananchi walio kutwa hifadhini walidai kupigwa na Askari wa Tanapa sio kuporwa mifugo Yao kama ilivyo daiwa na Mbunge Mzee Francis.

Wananchi wote walio husika walihojiwa na kukana madai ya kuporwa mifugo Yao!!

Hoja ninayo izungumzia hapa ni kuporwa mifugo 200 sio kupigwa.
Tuletee hayo mahojiano tusikie hapa vinginevyo wanahisi kuwa watendaji waliohusika wako hapa kujitetea
 
Mbunge wa mbarali Mzee Francis wiki iliyo pita trh 10/5/2023 alitoa taarifa Bungeni kuwa Askari wa Tanapa wamewapora wananchi wa mbarali mifugo Yao zaidi ya ng'ombe 200, jambo lililo pelekea waziri Mkuu kutoa maelekezo.

Jana trh 13/5 kwenye taarifa ya habari Azam utv waziri wa maliasili alikanusha kuwa hakuna mfugo hata mmoja ulioporwa na Tanapa, wananchi pia wamekanusha uvumi huo ulio tolewa na Mbunge!!!!

Sasa swali la kujiuliza, ni kwa Nini Mbunge alisimama Bungeni na kulidanganya Bunge na kuzua taharuki?!

Kama alikuwa hana habari za uhakika kwa Nini asinge jiridhisha kwanza?! Kwa Nini asingejadiliana na viongozi kwanza badala ya kupwayuka?!

Badala ya kuwakemea wananchi wanao vunja Sheria na kuingiza mifugo hifadhi tunaanza kuwalaumu Askari wa Tanapa walio pewa majukumu ya kulinda hifadhi zetu!!!!

Tuache huu unafiki, tunawaomba Tanapa wasiwachekee wananchi wanao vunja Sheria za hifadhi, wakikaidi wapeni kibano na wapelekeni kwenye vyombo vya Sheria.

Tunamuomba Spika wa Bunge atoe adhabu kwa Mbunge huyu kwa kuzusha taarifa ambazo sio sahihi, alidai wananchi wameporwa ng'ombe zao na baadhi Yao wanataka kujiuwa!?

hoja yangu imejikita kwenye tuhuma ya WANANCHI KUPORWA NGOMBE 200 kama ilivyo daiwa na Mbunge kuwa tuhuma hizo sio za kweli ni uzushi na hivyo nimeomba Mbunge huyo adhibiwe kwa uzushi.

Hatuwezi kwenda kwa kubembelezana wala kuchekeana.


Wewe umeacha kumuamini mbunge, na kusema kadanganya, ukamuamini Waziri wa Utalii, una akili kweli? Kwanini usisubiri report ya Waziri Mkuu. Acha kuwa na akili za one sided, subiri both sides of story, alafu tutajua ukweli.
 
Back
Top Bottom