Wananchi Mkoa Kagera kuweni makini haya makongamano

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,020
691
Wadau.
Hivi una taarifa kuwa kwa sasa kuitwa 'nshomile' ni kama tusi? Je unajua mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanagwaya kutumia majina yao ya asili mfano Kagera,Kigoma nk?
Kwa nini? ..wanaosababisha haya wako nje ya Mkoa wa Kagera wakifanya kazi zao na wakitaka kazi ziendelee wao wakiwa huko huko wanasajili NGOs za mfukoni ,au vikundi kisha wanasafiri hadi Bukoba 'eti' kujadili namna ya kusaidia Bukoba na Kagera ,eti wanapanga keleta mapinduzi ya kiuchumi Kagera. Vikundi hivi hufanya kazi hizi katika nyakati za kukaribia uchaguzi ndani ya CCM au uchaguzi Mkuu tu. baada ya hapo hutawaona tena wala kinachoitwa 'foundation'

Si kawaida yangu kuandika humu mara kwa mara baada ya mambo mnavyoyaona nchini hasa uhuru wa habari.

Nasikitika kwa nini vijana tena wasomi wanatumia elimu yao kuharibu Mkoa huu kupitia agenda za 'kijinga' kwa kuandaa matamasha na makongamano ya kutafuta kura za kisiasa na wakisha maliza wanatokomea.Wanatumia title ya 'BUKOBA' eti kujadili fursa za Missenyi,Kyerwa ,Muleba nk.

Naomba upitie hizi link kwanza
'Bukoba Mpya no 1'
'Bukoba Mpya no 2'
'Bukoba Mpya no 3'

Hayo ni makundi ya CCM na CDM kwa kila upande kuandaa matamasha ya malengo ya ya kutafuta namna ya 'kujiuza' kwa wananchi ila baadaye watimize malengo yao.

Waandaaji wengi 'HAWAISHI' au 'SI WAKAZI' wa Bukoba,wengine hawana hata viwanja hapa Bukoba,wanafikia kwa jamaa zao au hotelini,eti wanajadili namna ya kuendeleza Mkoa wa Kagera.

Nimeanza kuhudhuria makongamno haya tangu 2002 hapa hapa Bukoba na agenda huwa ni zile zile tu,wafadhili ni wale nk...

Nasikitika kwamba hadi naandika haya Mkoa wa Kagera unaporomoka kwa kasi kubwa kimaendeleo. Ukifika Bukoba mjini kisha ukawatazama hawa jamaa na tai zao unaweza kushangaa na kusikitika sana.


Nitaendelea....

Byabato

updates:July 2017
Mkuu wa Mkoa Kagera salum katika video hapo chini alikuwa akifungua moja ya komgamano liliandaliwa na kikundi kiitwacho 'Bukoba Mpya' ebu msikilize aliyosema.
 
Wadau.
Hivi una taarifa kuwa kwa sasa kuitwa 'nshomile' ni kama tusi? Je unajua mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanagwaya kutumia majina yao ya asili mfano Kagera,Kigoma nk?
Kwa nini? ..wanaosababisha haya wako nje ya Mkoa wa Kagera wakifanya kazi zao na wakitaka kazi ziendelee wao wakiwa huko huko wanasajili NGOs za mfukoni ,au vikundi kisha wanasafiri hadi Bukoba 'eti' kujadili namna ya kusaidia Bukoba na Kagera ,eti wanapanga keleta mapinduzi ya kiuchumi Kagera. Vikundi hivi hufanya kazi hizi katika nyakati za kukaribia uchaguzi ndani ya CCM au uchaguzi Mkuu tu. baada ya hapo hutawaona tena wala kinachoitwa 'foundation'

Si kawaida yangu kuandika humu mara kwa mara baada ya mambo mnavyoyaona nchini hasa uhuru wa habari.

Nasikitika kwa nini vijana tena wasomi wanatumia elimu yao kuharibu Mkoa huu kupitia agenda za 'kijinga' kwa kuandaa matamasha na makongamano ya kutafuta kura za kisiasa na wakisha maliza wanatokomea.Wanatumia title ya 'BUKOBA' eti kujadili fursa za Missenyi,Kyerwa ,Muleba nk.

Naomba upitie hizi link kwanza
'Bukoba Mpya no 1'
'Bukoba Mpya no 2'
'Bukoba Mpya no 3'

Hayo ni makundi ya CCM na CDM kwa kila upande kuandaa matamasha ya malengo ya ya kutafuta namna ya 'kujiuza' kwa wananchi ila baadaye watimize malengo yao.

Waandaaji wengi 'HAWAISHI' au 'SI WAKAZI' wa Bukoba,wengine hawana hata viwanja hapa Bukoba,wanafikia kwa jamaa zao au hotelini,eti wanajadili namna ya kuendeleza Mkoa wa Kagera.

Nimeanza kuhudhuria makongamno haya tangu 2002 hapa hapa Bukoba na agenda huwa ni zile zile tu,wafadhili ni wale nk...

Nasikitika kwamba hadi naandika haya Mkoa wa Kagera unaporomoka kwa kasi kubwa kimaendeleo. Ukifika Bukoba mjini kisha ukawatazama hawa jamaa na tai zao unaweza kushangaa na kusikitika sana.

Ninapoandika haya nasikia leo wapo katika mjadala eti namna ya kuboresha Kagera.

Nitaendelea....

Byabato
Byabato mbona sijaona utapeli wowote? Kwa mfano, waandaaji wa kongamano la jana na leo ni wasomi , wanafahamika, lecturers, sidhani kama wana lengo la kuwatapeli watu. Anyway, labda unajua undani zaidi wa haya mambo.
 
Wadau.
Hivi una taarifa kuwa kwa sasa kuitwa 'nshomile' ni kama tusi? Je unajua mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanagwaya kutumia majina yao ya asili mfano Kagera,Kigoma nk?
Kwa nini? ..wanaosababisha haya wako nje ya Mkoa wa Kagera wakifanya kazi zao na wakitaka kazi ziendelee wao wakiwa huko huko wanasajili NGOs za mfukoni ,au vikundi kisha wanasafiri hadi Bukoba 'eti' kujadili namna ya kusaidia Bukoba na Kagera ,eti wanapanga keleta mapinduzi ya kiuchumi Kagera. Vikundi hivi hufanya kazi hizi katika nyakati za kukaribia uchaguzi ndani ya CCM au uchaguzi Mkuu tu. baada ya hapo hutawaona tena wala kinachoitwa 'foundation'

Si kawaida yangu kuandika humu mara kwa mara baada ya mambo mnavyoyaona nchini hasa uhuru wa habari.

Nasikitika kwa nini vijana tena wasomi wanatumia elimu yao kuharibu Mkoa huu kupitia agenda za 'kijinga' kwa kuandaa matamasha na makongamano ya kutafuta kura za kisiasa na wakisha maliza wanatokomea.Wanatumia title ya 'BUKOBA' eti kujadili fursa za Missenyi,Kyerwa ,Muleba nk.

Naomba upitie hizi link kwanza
'Bukoba Mpya no 1'
'Bukoba Mpya no 2'
'Bukoba Mpya no 3'

Hayo ni makundi ya CCM na CDM kwa kila upande kuandaa matamasha ya malengo ya ya kutafuta namna ya 'kujiuza' kwa wananchi ila baadaye watimize malengo yao.

Waandaaji wengi 'HAWAISHI' au 'SI WAKAZI' wa Bukoba,wengine hawana hata viwanja hapa Bukoba,wanafikia kwa jamaa zao au hotelini,eti wanajadili namna ya kuendeleza Mkoa wa Kagera.

Nimeanza kuhudhuria makongamno haya tangu 2002 hapa hapa Bukoba na agenda huwa ni zile zile tu,wafadhili ni wale nk...

Nasikitika kwamba hadi naandika haya Mkoa wa Kagera unaporomoka kwa kasi kubwa kimaendeleo. Ukifika Bukoba mjini kisha ukawatazama hawa jamaa na tai zao unaweza kushangaa na kusikitika sana.

Ninapoandika haya nasikia leo wapo katika mjadala eti namna ya kuboresha Kagera.

Nitaendelea....

Byabato
Owa ishe,mpora,Mimi siku hizi hata jina langu la nyumbani,sipendi kulitumia,
Niriondoka Kagera 1998,nikarudi 2009,miaka kumi baadae mji wa Bukoba,upo vilevile,stendi mbovu,yaani ni mji usiovutia kabisa,yaani hata stendi kuu,manispaa imeshindwa kujenga,kazi ni kulangua viwanja,niliuliza bei ya kiwanja kilichopimwa,bei ni kubwa kuliko hata Dodoma ya 2017,unajiuliza wanatumia vigezo gani,majengo ya mjini yamechakaa,hata kupaka rangi ni shida,kwa ufupi mkoa wetu umekosa viongozi wenye maono,Mji wa Tunduma,umeendelea sana kuliko mkoa wa kagera,Hanna jipya,hata wilaya ya Kahama,INA mipango,mji umepangwa vizuri kuliko Kagera,
Mkuu wa mkoa Aliyepita,Ndugu Masawe,alikuwa na plan nzuri,ila ndio hivyo tena yakamkuta ya kumkuta,
Kwanini hawa viongozi wasiige hata mipango iliyofanywa mpaka mji wa Moshi ukawa na maendeleo,
Mji usipokuwa na miundombinu mizuri nani atakuja kuwekeza,,kwanza inabidi mtafute eneo eneo jingine kwa ajiri ya stendi ya mabasi,hiyo stendi ibaki kuwa stendi ya daladala tu,yaani mkoa mzima unazidiwa na wilaya,Kahama kuna stendi mbili,
 
Wakagera licha ya mbwembwe na majigambo ya kielimu lakini Ubunifu wa maisha wa kuweza kutumia Elimu zao hawana!

Wawaige wenzao wa Kilimanjaro.
Wakagera licha ya mbwembwe na majigambo ya kielimu lakini Ubunifu wa maisha wa kuweza kutumia Elimu zao hawana!

Wawaige wenzao wa Kilimanjaro.

Ni kweli kabisa. tatizo sisi tunaharibiwa na malengo ya matumbo yetu badala ya vizazi vyetu
 
Byabato mbona sijaona utapeli wowote? Kwa mfano, waandaaji wa kongamano la jana na leo ni wasomi , wanafahamika, lecturers, sidhani kama wana lengo la kuwatapeli watu. Anyway, labda unajua undani zaidi wa haya mambo.

Mimi najua kwamba kuna agenda iliyojificha kupitia hayo makongamano. Fanya hivi,chukua majina ya watu 6 waliokuwa waandaaji au watoa mada..tunza majina hayo kisha subiri majina ya wagombea nafasi mbalimbali ndani ya chama katika uchaguzi huu unaokuja utaelewa kinachofanyika. CCM imepiga marufuku kampeini lakini 'wasomi' wanatumia mbinu mbadala kupiga kampeini.

Pia haya makaongamano hayawezi saidia lolote lile.mawazo yao hayana utekelezaji ni kuongea tu..tumeanza haya makongamano tangu enzi za mzee Luangisa hadi leo ni yale yale
 
bukoba m.png
 
Mimi najua kwamba kuna agenda iliyojificha kupitia hayo makongamano. Fanya hivi,chukua majina ya watu 6 waliokuwa waandaaji au watoa mada..tunza majina hayo kisha subiri majina ya wagombea nafasi mbalimbali ndani ya chama katika uchaguzi huu unaokuja utaelewa kinachofanyika. CCM imepiga marufuku kampeini lakini 'wasomi' wanatumia mbinu mbadala kupiga kampeini.

Pia haya makaongamano hayawezi saidia lolote lile.mawazo yao hayana utekelezaji ni kuongea tu..tumeanza haya makongamano tangu enzi za mzee Luangisa hadi leo ni yale yale
Umenena vyema kabisa maana naona na yule kijana aliyekuwa ccm akaenda cuf then chadema then act Leo karudi ccm.
Naye Leo ndo anahilo kongamano wakati tageti yake kubwa n kugombania ubunge Kama uchaguzi ulioisha halafu akakosa
 
Waambie warudi waishi Bk, wakiweka makazi yao ya Kudumu hapo Bk, mambo yote yatakuwa poa Ila hii ya kuvizia ili wapige deal na kisha wachomoke haitawasaidia kabisa.

Any way, "Don't Remind a Fool Because, You Might be Dragged into His /Her Foolishness".
 
ndio shida ya kusoma sana halafu huna hela....lazima utakuwa tapeli

Hapana siyo kwamba watu wamesoma sana bali tatizo ni kuangaikia tumbo na dhana ya umimi badala ya sisi. Wangekuwa na agenda mujarabu wangefanya ongamno hilo na kiingilio ikawa ni kuchangia stendi ambayo ukifika hapo unavua na viatu kupita kwenye madimbwi mvua ikinyesha.
 
Wadau.
Hivi una taarifa kuwa kwa sasa kuitwa 'nshomile' ni kama tusi? Je unajua mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanagwaya kutumia majina yao ya asili mfano Kagera,Kigoma nk?
Kwa nini? ..wanaosababisha haya wako nje ya Mkoa wa Kagera wakifanya kazi zao na wakitaka kazi ziendelee wao wakiwa huko huko wanasajili NGOs za mfukoni ,au vikundi kisha wanasafiri hadi Bukoba 'eti' kujadili namna ya kusaidia Bukoba na Kagera ,eti wanapanga keleta mapinduzi ya kiuchumi Kagera. Vikundi hivi hufanya kazi hizi katika nyakati za kukaribia uchaguzi ndani ya CCM au uchaguzi Mkuu tu. baada ya hapo hutawaona tena wala kinachoitwa 'foundation'

Si kawaida yangu kuandika humu mara kwa mara baada ya mambo mnavyoyaona nchini hasa uhuru wa habari.

Nasikitika kwa nini vijana tena wasomi wanatumia elimu yao kuharibu Mkoa huu kupitia agenda za 'kijinga' kwa kuandaa matamasha na makongamano ya kutafuta kura za kisiasa na wakisha maliza wanatokomea.Wanatumia title ya 'BUKOBA' eti kujadili fursa za Missenyi,Kyerwa ,Muleba nk.

Naomba upitie hizi link kwanza
'Bukoba Mpya no 1'
'Bukoba Mpya no 2'
'Bukoba Mpya no 3'

Hayo ni makundi ya CCM na CDM kwa kila upande kuandaa matamasha ya malengo ya ya kutafuta namna ya 'kujiuza' kwa wananchi ila baadaye watimize malengo yao.

Waandaaji wengi 'HAWAISHI' au 'SI WAKAZI' wa Bukoba,wengine hawana hata viwanja hapa Bukoba,wanafikia kwa jamaa zao au hotelini,eti wanajadili namna ya kuendeleza Mkoa wa Kagera.

Nimeanza kuhudhuria makongamno haya tangu 2002 hapa hapa Bukoba na agenda huwa ni zile zile tu,wafadhili ni wale nk...

Nasikitika kwamba hadi naandika haya Mkoa wa Kagera unaporomoka kwa kasi kubwa kimaendeleo. Ukifika Bukoba mjini kisha ukawatazama hawa jamaa na tai zao unaweza kushangaa na kusikitika sana.

Ninapoandika haya nasikia leo wapo katika mjadala eti namna ya kuboresha Kagera.

Nitaendelea....

Byabato
hakika mkuu, hakuna mji Tanzania una vi-NGO's au vi-Foundations vya kwenye mikoba vingi kama Bukoba, wengi ni wajanja wajanja. Mijadala yao mara nyingi haina jipya.
 
Back
Top Bottom