Na bado alhamisi mm mwenyewe nilikua kwy mkutano arusha sikuamini ile nyomi wazee wa lumumba na nchimbi jana nawaskia wanadai ni pocha za nchi za magharibi. Duuuu in as uma lln hawaamini kbs kinachotokea na bado
Umezizima kwa watu kufunga maduka wakihofia kuibiwa na vibaka wanaojitokeza kuonesha kuwa na wao ni wanachama na wanahitaji ukombozi kumbe kwao ni fursa ya kujipatia riziki lakini hakuna watu kama picha ndo ulizoonesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.