Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

Dr. Slaa alihama upadre kwa jili y Lowasa?

Dr. Slaa alihama CCM to Chadema kwajili ya Lowasa?

Dr. Slaa alimkacha mkewe wa ndoa na wanae, alimkimbia Lowasa na huko?

Slaa alisema anaacha siasa, anaenda kupumzika nje na kusoma......huko nje masomo yameisha?.......kaacha siasa?

SLAA HAFAI KUMINIWA TENA!
 
Ni bora Babu Slaa aitishe mkutano mwingine na waandishi wa habari ili akazie hoja zake za Richmond.
 
Lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mabadilikoooooooooooooooooo

Mabadilikooooooo........
 
Na bado alhamisi mm mwenyewe nilikua kwy mkutano arusha sikuamini ile nyomi wazee wa lumumba na nchimbi jana nawaskia wanadai ni pocha za nchi za magharibi. Duuuu in as uma lln hawaamini kbs kinachotokea na bado
 
Wakuu nitawawekea picha za hali ilivyo hapa Musoma kwa sasa....kwa ufupi mji umezizima mpaka sasa watu wanaimba rais rais
 
Hapa wakimsubri kwa mapokezi
 

Attachments

  • 1444565335287.jpg
    1444565335287.jpg
    42.4 KB · Views: 1,235
  • 1444565390577.jpg
    1444565390577.jpg
    40.7 KB · Views: 1,150
Umezizima kwa watu kufunga maduka wakihofia kuibiwa na vibaka wanaojitokeza kuonesha kuwa na wao ni wanachama na wanahitaji ukombozi kumbe kwao ni fursa ya kujipatia riziki lakini hakuna watu kama picha ndo ulizoonesha.
 
Back
Top Bottom