Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

Umezizima kwa watu kufunga maduka wakihofia kuibiwa na vibaka wanaojitokeza kuonesha kuwa na wao ni wanachama na wanahitaji ukombozi kumbe kwao ni fursa ya kujipatia riziki lakini hakuna watu kama picha ndo ulizoonesha.

Duh! Unarusha mate isee
 
Hapa wakideki barabara ya Rais wa Tz
 

Attachments

  • 1444566148383.jpg
    1444566148383.jpg
    44.7 KB · Views: 744
  • 1444566177470.jpg
    1444566177470.jpg
    66.4 KB · Views: 917
Mungu akubariki,mwaka huu sisi hatutukani

Mkuu mwezi huu ni mwezi wa majilio ya Lowassa, Mimi nipo kwenye toba tokea tarehe 1 October ili kumwombea Mh. Lowassa na Watanzania wote kwa ujumla hasa wale wenye kupenda na kutamani kuyaona Mabadiliko ya kweli ili nguvu za shetani zisiweze kupata nafasi. Tuendelee kuwakemea WATESI wetu huku tukimtanguliza Mungu. UKAWA imeanza na MUNGU na itamaliza na MUNGU.
 
Mkuu mwezi huu ni mwezi wa majilio ya Lowassa, Mimi nipo kwenye toba tokea tarehe 1 October ili kumwombea Mh. Lowassa na Watanzania wote kwa ujumla hasa wale wenye kupenda na kutamani kuyaona Mabadiliko ya kweli ili nguvu za shetani zisiweze kupata nafasi. Tuendelee kuwakemea WATESI wetu huku tukimtanguliza Mungu. UKAWA imeanza na MUNGU na itamaliza na MUNGU.

Ahsante baba mchungaji, wakupe nini castle au tusker?
 
john malecela:ho sio wapinzani ni waasi-wapinzani ni wale waliokuwa upinzani toka 1992 hawa walioondoka ccm ni waasi hawajasajiliwa popote-kauli hii ilinikera sana wanasiasa wanatumia ujinga wa mtanzani kumkandamiza
 
Gamba La Wazee Wa Vijisenti Tu!!! KITAMBO Tunakujua!! Wanamabadiliko Msiyumbishwe Na Gamba!!!! Taarifa Zetu Tutaziona Tu, Hatuna Shaka Nazo, Na Tsunami Kama Kawa!!
 
watu wa musoma wamkalibisha kwa kudeki barabara ili apite bila kukanyaga vumbi
 

Attachments

  • 1444570489575.jpg
    1444570489575.jpg
    69.6 KB · Views: 396
  • 1444570499458.jpg
    1444570499458.jpg
    75.3 KB · Views: 391
  • 1444570510609.jpg
    1444570510609.jpg
    59.7 KB · Views: 384
  • 1444570520365.jpg
    1444570520365.jpg
    80.5 KB · Views: 366
  • 1444570529317.jpg
    1444570529317.jpg
    83.4 KB · Views: 361
  • 1444570539176.jpg
    1444570539176.jpg
    58.3 KB · Views: 351
  • 1444570547947.jpg
    1444570547947.jpg
    64.5 KB · Views: 348
watu wa musoma wamkalibisha kwa kudeki barabara ili apite bila kukanyaga vumbi

Wame jiandaa kumpokea Mtu ya Amali. Wenye kujitolea ktk kufanya haya madogo kwa moyo ndio wenye kwenda kufanya makubwa katika uchaguzi huu ujao. Mungu azitangulie kazi za mikono yao ili iweze kwenda kuzaa matunda siku ile ya ahadi ya tarehe 25 October.
 
Back
Top Bottom