Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Status
Not open for further replies.

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,073
Kwa mipango ya chini chini, kununua magazeti, kununua watu JF forum na hata mamodereta wetu kufuta nyuzi zenye mashiko au kuchanganya nyuzi kwa lengo la kuwapoteza wananchi, hakika EL atakataliwa na wananchi iwapo atagombea ama kupitia CCM, ACT au TLP.

EL atakataliwa kama ambavyo Mrema, ZZK wanakataliwa na wananchi, watu hawa wanaharufu kali ya usaliti kwa umma.

Ukituhumiwa mambo ya UFISADI huwezi tena uje kuwa amri jeshi mkuu wa nchi, fisadi??? (kwa maneno yako ulijihuzuru kulinda CCM na serikali sio wananchi ndo maana hujaweza kusema ukweli wa mambo hado leo unalalamika tu, kama ulionewa sio sema ukweli once and for all) wananchi wa tz sio wajinga pesa wala, pilai kama Nape ala lakni kura kuchagua rais, hatuwezi mpa mtu kama EL.

Umekaa bungeni kimya miaka 8, huna hata haya. Ina maana hujaona suali ambalo serikali au mbunge mwenzako kalikosea?? bubu awe rais? au mbinafsi awe rais???

Nawasilisha
 
Mkuu umeongea jambo la msingi kabisa ambalo linafichwa kuonesha uchafu wa EL na serikali ya ccm. Hakuna aliyeonewa katika hilo zaidi sisi wananchi wa kawaida.
 
Wewe mleta uzi kilaza sana sasa hapo kwenye heading yako ZZK wa nini? Hivi bavicha bila kumtaja ZZK mnajua Dj hatoi posho mpaka muandike jina lake, haya kachukue posho yako kwa kumchekesha mfalme
 
Kwa mipango ya chini chini, kununua magazeti, kununua watu JF forum na hata mamodereta wetu kufuta nyuzi zenye mashiko au kuchanganya nyuzi kwa lengo la kuwapoteza wananchi, hakika EL atakataliwa na wananchi iwapo atagombea ama kupitia CCM, ACT au TLP.

EL atakataliwa kama ambavyo Mrema, ZZK wanakataliwa na wananchi, watu hawa wanaharufu kali ya usaliti kwa umma.

Ukituhumiwa mambo ya UFISADI huwezi tena uje kuwa amri jeshi mkuu wa nchi, fisadi??? (kwa maneno yako ulijihuzuru kulinda CCM na serikali sio wananchi ndo maana hujaweza kusema ukweli wa mambo hado leo unalalamika tu, kama ulionewa sio sema ukweli once and for all) wananchi wa tz sio wajinga pesa wala, pilai kama Nape ala lakni kura kuchagua rais, hatuwezi mpa mtu kama EL.

Umekaa bungeni kimya miaka 8, huna hata haya. Ina maana hujaona suali ambalo serikali au mbunge mwenzako kalikosea?? bubu awe rais? au mbinafsi awe rais???

Nawasilisha

Bavicha bila kumtaja Zitto Mimba Zitatoka,wameshakimbia majukwaa yote maana kila wakifungu Simu zao wanakutana na ACT-Wazalendo,wakiwasha tivi wanamkyta Zitto Radio ndio usiseme,walibaki wanategemea JF nako wamezidiwa hoja,sasa mpaka wanatia huruma kwa jinsi walivyokuwa wanyonye.

wahurumueni wasije ugua presha.
 
Bavicha bila kumtaja Zitto Mimba Zitatoka,wameshakimbia majukwaa yote maana kila wakifungu Simu zao wanakutana na ACT-Wazalendo,wakiwasha tivi wanamkyta Zitto Radio ndio usiseme,walibaki wanategemea JF nako wamezidiwa hoja,sasa mpaka wanatia huruma kwa jinsi walivyokuwa wanyonye.

wahurumueni wasije ugua presha.

UKOMBOZI HAUHITAJI redio, magazeti, tv na vitu vya aina hiyo unahitaji watu wenye nia moja, TZ inataka ukombozi wa kiuchumi. Wewe na wenzako wapeni wenye magazeti na redio tv hela wawatangaze mwisho wa siku, mwananchi anajua UKAWA ndo mpango mzima, ZZK hawawezi ingia UKAWA hata iweje maana ni mamluki wa CCM
 
Wewe mleta uzi kilaza sana sasa hapo kwenye heading yako ZZK wa nini? Hivi bavicha bila kumtaja ZZK mnajua Dj hatoi posho mpaka muandike jina lake, haya kachukue posho yako kwa kumchekesha mfalme

Tumia jicho la tatu, au hukupita SA, A23, A21 etc? utaona wasaliti wa UMMA wako wa aina nyingi ila wote ni wasaliti, uibe hela uhadae watu wote ni usaliti. SO ZZK na EL au MRema wote kapu moja.
 
Tumia jicho la tatu, au hukupita SA, A23, A21 etc? utaona wasaliti wa UMMA wako wa aina nyingi ila wote ni wasaliti, uibe hela uhadae watu wote ni usaliti. SO ZZK na EL au MRema wote kapu moja.

Leta ushahidi wa kuiba hizo pesa sio kuleta majungu,unajua bint akiwa hajaolewa basi huwa na chuki mno na kila mwanamke aliyeolewa, Sasa bora utulie utapata tu mume muombe mungu sana
 
Leta ushahidi wa kuiba hizo pesa sio kuleta majungu,unajua bint akiwa hajaolewa basi huwa na chuki mno na kila mwanamke aliyeolewa, Sasa bora utulie utapata tu mume muombe mungu sana

Ushahidi chukua kwa spika wa bunge na JK, mimi naamini Bunge na Rais kama taasisi za umma. UTAOLEWA WEWE na hela za EL
 
Bavicha bila kumtaja Zitto Mimba Zitatoka,wameshakimbia majukwaa yote maana kila wakifungu Simu zao wanakutana na ACT-Wazalendo,wakiwasha tivi wanamkyta Zitto Radio ndio usiseme,walibaki wanategemea JF nako wamezidiwa hoja,sasa mpaka wanatia huruma kwa jinsi walivyokuwa wanyonye.

wahurumueni wasije ugua presha.

Upepo wa mabadiliko utawakumba wote wanaoendeleza siasa za kale, siasa zisizo na hoja, siasa za matusi, uongo na kashfa.Watanzania wamezichoka siasa hizi.

Watanzania wanataka siasa za masuala yao ya maendeleo, siasa za kushindanisha nin kizuri zaidi kifanyike kwa manufaa ya watu.Ndio maana unashuhudia sasa Watanzania wakiendelea kwa kasi sana kuipokea ACT.

ACT WAZALENDO, TAIFA KWANZA, TURUDI KWENYE MISINGI
 
Mpeni kura zenu Dokta Slaa......

Endelea kuwashawishi kwa hoja watu wamfuate unayemtaka lakin heshimu pia watakaokuwa na mawazo tofauti na wewe.Hatupo sawa na hatufikiri sawa.

Demokrasia maana yake utawala wa watu, ndio maana tutaenda kwenye chaguzi, wananchi wenyewe wataamua.Vyovyote yatakavyokuwa mawazo ya wengi yatakayoonyeshwa kwenye sanduku la kura ndio mawazo ya watu wa Tanzania, na ndiye mtu sahihi waliyemuona anawafaa.Waheshimu watu hao.
 
Hivi kweli unaweza kutaka kuwa rais hata swali moja bunge kwa miaka 8 hakuna??? hujui shida za watanzania harafu unataka uwe rais? Wa watanzania au wa chuo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom