Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,428
Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae, Mhe. Shaaban Ali Othman kwa kushirikiana na Mbunge wa Jimbo la Mpendae, Mhe. Taufiq Turky pamoja na Madiwani wametoa sadaka ya sikukuu kwa wazee, watu wenye ulemavu na wanaoishi katika mazingira magumu ikiwa na lengo la kuwasaidia kipindi hiki cha sikukuu.
Viongozi hao wa Jimbo la Mpendae, wamesisitiza kuendelea kuisaidia jamii yenye uhitaji ili nao washereheke sikukuu kwa furaha na upendo.
Zaidi ya wananchi Elfu Moja (1000) wa Jimbo la Mpendae wamenufaika na sadaka hiyo.
Viongozi hao wa Jimbo la Mpendae, wamesisitiza kuendelea kuisaidia jamii yenye uhitaji ili nao washereheke sikukuu kwa furaha na upendo.
Zaidi ya wananchi Elfu Moja (1000) wa Jimbo la Mpendae wamenufaika na sadaka hiyo.
Attachments
-
WhatsApp Image 2025-06-09 at 15.16.53.jpeg112.2 KB · Views: 18 -
WhatsApp Image 2025-06-09 at 15.16.51.jpeg148.7 KB · Views: 18 -
WhatsApp Image 2025-06-09 at 15.16.49 (1).jpeg106.9 KB · Views: 18 -
WhatsApp Image 2025-06-09 at 15.16.49.jpeg130.7 KB · Views: 15 -
WhatsApp Image 2025-06-09 at 15.16.48.jpeg131.6 KB · Views: 14 -
WhatsApp Image 2025-06-09 at 15.16.46.jpeg107.7 KB · Views: 15