GE2025 Wananchi Buchosa wamepokea kivuko MV Mwanza

GE2025 Wananchi Buchosa wamepokea kivuko MV Mwanza

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,505
Reaction score
2,264
Kivuko cha MV Mwanza kimepokelewa katika Jimbo la Buchosa, ambapo kitakuwa kikifanya safari kati ya Nyakaliro na Kisiwa cha Kome

Kivuko hicho kimepokelewa kwa shangwe na wananchi wa Buchosa wakiongozwa na Mbunge wao, Eric Shigongo, na kinatarajiwa kurahisisha shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo katika jimbo hilo

Kivuko hiki ni miongoni mwa vivuko viwili vilivyoombwa na Mbunge Shigongo, ambaye alimuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuwaletea vivuko hivyo kwa ajili ya kuwahudumia wananchi

Mbunge Shigongo alikizindua kivuko hicho Julai 2, 2025

Soma pia: Eric Shigongo: Rais Samia kutoa Billioni 8 kujenga kivuko kipya na kuongezeka kwa vivuko vinne Buchosa


12.png


13.png
 
Nafurahia Payee yangu haijsnunua tu V8 bali imenunua na boat yakuwasaidia wananchi wa Buchosa..
 
Iko kivuko wangeozea upande uke wa kwenda ukelewe
 
Kivuko cha MV Mwanza kimepokelewa katika Jimbo la Buchosa, ambapo kitakuwa kikifanya safari kati ya Nyakaliro na Kisiwa cha Kome

Kivuko hicho kimepokelewa kwa shangwe na wananchi wa Buchosa wakiongozwa na Mbunge wao, Eric Shigongo, na kinatarajiwa kurahisisha shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo katika jimbo hilo

Kivuko hiki ni miongoni mwa vivuko viwili vilivyoombwa na Mbunge Shigongo, ambaye alimuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuwaletea vivuko hivyo kwa ajili ya kuwahudumia wananchi

Mbunge Shigongo alikizindua kivuko hicho Julai 2, 2025

Soma pia: Eric Shigongo: Rais Samia kutoa Billioni 8 kujenga kivuko kipya na kuongezeka kwa vivuko vinne Buchosa


Aya uyo shigongo ubunge imetosha sasa aendelee na shughuli nyingine
 
Kivuko cha MV Mwanza kimepokelewa katika Jimbo la Buchosa, ambapo kitakuwa kikifanya safari kati ya Nyakaliro na Kisiwa cha Kome

Kivuko hicho kimepokelewa kwa shangwe na wananchi wa Buchosa wakiongozwa na Mbunge wao, Eric Shigongo, na kinatarajiwa kurahisisha shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo katika jimbo hilo

Kivuko hiki ni miongoni mwa vivuko viwili vilivyoombwa na Mbunge Shigongo, ambaye alimuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuwaletea vivuko hivyo kwa ajili ya kuwahudumia wananchi

Mbunge Shigongo alikizindua kivuko hicho Julai 2, 2025

Soma pia: Eric Shigongo: Rais Samia kutoa Billioni 8 kujenga kivuko kipya na kuongezeka kwa vivuko vinne Buchosa


Kanipa maujiko shigongo!
 
Next election jimbo hilo nitalitetea na wananchi kupata uwakilishi thabiti kabisa.
 
Back
Top Bottom