FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Acha ujinga kila zama zina kazi yake.Mwinyi huwezi mlinganisha na Nyerere naye alikuwa na kazi yake,mkapa pia huwezi mlinganisha na Mwinyi pia,hata Kikwete ilibidi afanye kitu exceptional sasa ye katurudisha nyuma,jinga sana.Nyerere kazi yake aliifanya vizuri na kwa dhamira safi japo wapo walioumia kulingana na dhamira yake.Na Tanzania moja ikasimama.Mwinyi kafungulia biashara za ushindani bahati mbaya katika Ruksa yake kila takataka zikaingia,Mkapa akabana dirisha kuanza kuzuia panya kuingia ndani,nashangaa kikwete hata cjui anafanya nini,na mwenye huko Ulaya kakiri kuwa kashindwa kutoa umaskini wa wakulima.Halafu we unasema kafanya maendeleo.Labda familia yenu mmefanyiwa hisani maana mpo wengi ambao mmefanyiwa hisani
Kazi yao wote hao ilikuwa moja, kuongoza nchi. Hakuna cha kila mmoja na kazi yake. Sema kila mmoja na upeo wake, kuna waliotuacha masikini wa mwisho duniani kuna aliyetutoa kwenye umasikini wa mwisho duniani, si unamjuwa nani? Kikwete.
Kuna waalituacha na afaya mbovu hata life expectancy yetu haikuzidi miaka 45 kwa maiaka yaoishirini na waliyotuongoza na kuna aliyetpaisha mpaka miaka 62 kwa maiaka yake 9 tu.
Kuna waliotuacha hatauna hata hifadhi ya chakula na ikitokea hata ukame wa miezi kadhaa tu tunakufa na njaa na kuna aliyetuwekea kwa mara ya kwanza hifadhi ya chakula ya zaidi ya mwaka mzima. Kikwete.
Kunawalituacha hatujuwi utajiri ni nini na wapi tuanzie hata kukopesheka hatukopesheki, kuna anaetuacha tuna mali zisizo na hesabu na si kukopesheka tu tunafatwa kuulizwa "tukukopeshe nini, sema tu bwana".
Hyo ndiyo Kikwet, ka fiti nyanja zote. Kama haujampa sifa yake ni kwa roho yako mbaya tu, lakini ukweli wa mafanikio yake upo wazi kabisa. hakuna wa kabla yake aliyefanya hata nusu ya Kikwete. Open Challenge.