Se-ronga
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 650
- 909
Barbarosa
Kwani unafikiri waliotharika na hilo zoezi ni Wanamtwara tu.Si bora kuliwa na Simba kuliko kufa kwa njaa.Baadhi ya mikoa kuna watu walikufa kwa njaa kutokana na hilo zoezi la kuhamishiwa vijiji vipya.
Lakini kumbuka kuwa Mwl.Nyerere alifanya haya yote si kwa kujinufaisha,bali kutaka kuwasogeza wananchi kwenye huduma za Kijamii.
After all,Makongoro hana hata chembe ya uhusika na madhara yaliyowakuta wana Mtwara
Kwani unafikiri waliotharika na hilo zoezi ni Wanamtwara tu.Si bora kuliwa na Simba kuliko kufa kwa njaa.Baadhi ya mikoa kuna watu walikufa kwa njaa kutokana na hilo zoezi la kuhamishiwa vijiji vipya.
Lakini kumbuka kuwa Mwl.Nyerere alifanya haya yote si kwa kujinufaisha,bali kutaka kuwasogeza wananchi kwenye huduma za Kijamii.
After all,Makongoro hana hata chembe ya uhusika na madhara yaliyowakuta wana Mtwara
Last edited by a moderator: