WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #61
...WoS,...kuna mahala niliwahi soma haya maneno,.."talk is cheap!"...na ukiona mbwa anabweka sana ujue haumi huyo.
Sasa basi, kabla maneno hayajaanza nigeukia mwenyewe naomba niigongelee msumari mwingine hoja yangu...
"kelele za mlango....!"
nitamalizia..'hazimnyimi mwenye nyumba kulala siyo?......
kelele hizi nazo ukizipuuza sana utajikuta unaadhirika ujue!