Wanalima kweli au?

WOS
neno kilimo kwanza kwenye jukwaa la mmu
linamaanisha kitu kingine,thats why
tunaguna

kilimo kwanza=kulima mashambani
kilimo kwanza=sex
kilimo kwanza=kunywa pombe
kilimo kwanza=kupiga soga

the list is endless

hapo kwenye red ndipo miguno ilipo.....nionavyo.........................
 
huwa tunawatuma waseme kwa niaba yetu.

mbona tunasikia kila siku mkijigamba ya kuwa mnaweza...............kumbe ni debe tu ambalo haliachi kutika.................................jivueni gamba na mkiri hadharani kuwa hamuwezi......ili muendelee kututuma tuwasemee....................
 
mbona tunasikia kila siku mkijigamba ya kuwa mnaweza...............kumbe ni debe tu ambalo haliachi kutika.................................jivueni gamba na mkiri hadharani kuwa hamuwezi......ili muendelee kututuma tuwasemee....................
Kumbe upo huku? Nilikuwa nakutafuta!
 
mimi kwetu wanaume wanalima sana na huwezi kuona tofauti ya ushiriki wa wanaume na wanamwake shambani............... mi naamini mwanaume ama mwanamke kutegea kazi za shambani ni hulka binafsi na katika mazingira mengine ni masuala ya utamaduni tu.............

kwa kweli sijaona shida yoyote mwanaume kusema kuhusu masuala ya kilimo kwanza............. mbona wanawake wanahamasishwa wawe active katika mijadala, makongamano nk!!. huyu mwanume kwa nini anyamazishwe hata pale amabpo tayari ana uthubutu wa kusema??.............

nionavyo mimi, ni vizuri kuwahamasisha wanawake wanaobaki nyuma katika mijadala wajitokeze kuchangia mawazo kwenye mipango mbalimbali bila kuwanyamazisha wanaume.............. naamini sauti ya mwanamke inaweza kusikika sambamba na ile ya mwanamke na hakuna ulazima wowote wa kuhoji sauti ya mwanume iliyopo.................

jamii inafanya makosa fulan fulani ambayo mi nayaona ya hatari.................... ina hisia kali sana juu ya wanawake na hasa pale wanaponyanyaswa na kukoseshwa ama kunyimwa haki zao.................... lakini jamii hiyohiyo haina huruma kabisa kwa kiumbe huyu mwanaume................. hata pale anapothubutu anaandamwa vikali,........... huenda ndio maana akipata fursa anakuwa katili ................ nafikiri wanaume makatili huwa wamekata tamaa zaidi............

ni maoni tu wakuu..................
 
Nisaidieni jamani...Kila mara naona wakina baba wazee wakiwa ndio wasemaji wakuu kwenye mambo ya kilimo kwanza!Ni kweli wao ndio walimaji?
Kilimo gani unachokizungumzia? imeniwia ngumu kuelewa haswa ninapojaribu kurelate na mahusiano!
 
Ayaaaaaa mi nimeingia chaka nikajua kilimo kwanza ya Mizengwe Kayanza dah kumbe kilimo cha kunako lol
Hata mie ndipo huko nilipokuwepo ktk tafsiri kumbe mambo ya chumbani duh! Kweli WomanofSUBSTANCE katuweza! Jibu: wANAJUA SANA KULIMA!
 
Kilimo kwanza kwa wababa wengi siku hizi hawawezi kabisa, kila kitu wamewekewa ila inashangaza mashamba yana magugu kibao hakuna hata wa kupalilia
 
Kilimo kwanza kwa wababa wengi siku hizi hawawezi kabisa, kila kitu wamewekewa ila inashangaza mashamba yana magugu kibao hakuna hata wa kupalilia

hapo sasa!!
Wanamiliki mashamba, kupalilia zero! Wamama nao wamechoka kuwa vibarua lol
 
Ni vizuri uelewe kuwa kilimo kwanza ni kauli mbiu ya serikali yenye lengo la kuboresha kilimo nchini na kuwaweesha wakulima kupata tija kupitia mazao wanayozalisha '' hivyo walengwa ni wananchi wote kwa ujumla kwa kuzingatia kuwa uchumi wa tanzania unategemea kilimo'' kimsingi haijalishi ni mwanaume au mwanamke wote kwa ujumla wanao wajibu wa kushiriki kikamilifu katika kufanikisha jukumu hili '' lakini utafiti unaonyesha kuwa wanawake ndio wanawajibika zaidi katika zoezi hili na jitihada zinahitajika kuelimisha jamii ili jinsia zote ziweze kushiriki kikamilifu ili tuweze kujiletea maendeleo yetu wenyewe ,sanjari na kukuza uchumi wa nchi.
 
Ni vizuri uelewe kuwa kilimo kwanza ni kauli mbiu ya serikali yenye lengo la kuboresha kilimo nchini na kuwaweesha wakulima kupata tija kupitia mazao wanayozalisha '' hivyo walengwa ni wananchi wote kwa ujumla kwa kuzingatia kuwa uchumi wa tanzania unategemea kilimo'' kimsingi haijalishi ni mwanaume au mwanamke wote kwa ujumla wanao wajibu wa kushiriki kikamilifu katika kufanikisha jukumu hili '' lakini utafiti unaonyesha kuwa wanawake ndio wanawajibika zaidi katika zoezi hili na jitihada zinahitajika kuelimisha jamii ili jinsia zote ziweze kushiriki kikamilifu ili tuweze kujiletea maendeleo yetu wenyewe ,sanjari na kukuza uchumi wa nchi.


Kwanini lakini???? na hili ndio swali la msingi
 
hapo sasa!!
Wanamiliki mashamba, kupalilia zero! Wamama nao wamechoka kuwa vibarua lol
M nashangaa shamba kubwa la nini wakati kilimo huwezi...bora uwakatie wenzio nao walime
Nisaidieni jamani...
Kila mara naona wakina baba wazee wakiwa ndio wasemaji wakuu kwenye mambo ya kilimo kwanza!

Ni kweli wao ndio walimaji?

...WoS,...kuna mahala niliwahi soma haya maneno,.."talk is cheap!"...na ukiona mbwa anabweka sana ujue haumi huyo.
Sasa basi, kabla maneno hayajaanza nigeukia mwenyewe naomba niigongelee msumari mwingine hoja yangu...
"kelele za mlango....!"
 
Back
Top Bottom