Wanakutamani Kasie Wangu....

Wanakutamani Kasie Wangu....

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari za jumapili nyote,

Kwa majina naitwa Kasinde aka Kasie aka nyonda ake dadii heheheh.

Naanza na tabasamu maana ndo lililojaa usoni. Iko hivii......

Leo asubuhi kwenye saa moja na nusu hivi nikasikia kengele ya mlango inaita.... mmmhh nikajiuliza asubuhi hii nani huyu? Basi nikaeleka mlangoni kufungua huku nikiwa nimevaa house coat sijui kwa kiswahili linaitwaje maana nilikuwa bado sijaamka.

Basi ile kufungua mlango nakuta ni kijana kanisalimia kisha kaniambia huu mzigo ni wako nimwambie nikuletee ila naomba uweke sahihi yako hapa kuwa umepokea mzigo. Basi nikasaini kisha nikapotea mzigo ilikuwa ni bunch of flowers kwa kiswahili nikisema kifundo cha maua sijui nakuwa nimepatia au nimepoteza maana. Haya, kwanza yananukia nikaanza kuyanusa hapo huku nikitabasamu nikafunga mlango wangu nikiwa naelekea sebuleni nikafunga bahasha iliyokuwa juu ya maua oooh maua yametoka kwa dadii ake Kasie woooow nikajikuta nimetamka thank you dadii.

Ndani ya bahasha hiyohiyo yenye kadi nikakuta flash nikakimbia kwwnye runinga nikaiweka loooh..... sio kwa mahaba haya jamani.

Kuna wimbo ameni dediketia nami nauweka hapa muusikilize mdundo maneno ujumbe daaah hadi chozi limenitoka kwa furaha yaani.

Wimbo uko kimahaba hadi najiona nimerudi kuwa na miaka 18 looh hehehehehehehehee.
Dadii amenikumbusha mahaba ya enzi zetu tukiwa tunasoma ilikuwa mkiandikiana barua pale chini unaweka na wimbo kama dedication kusindikiza ujumbe uliotuma.

What should I say...... I love you dadii and Am Ready..... mmuah! !



Ngoja niwaulize wadada, hivi mpenz wako akikutumia wimbo huu utajisikiaje.....

Mie mahaba ndo yameamka hapa wiki yote kuanzia leo ntakuwa ndo wimbo wangu nausikiliza huku nikiwaza jinsi nkatavokuwa namuimbia mtoto wangu na dadii tangu akiwa tumboni.

Thank you so much dadii uncle wake Lawre.... mmmuuaahhh.
Screenshot_2017-11-12-09-37-42.png

2Uhhy3

Huyo si Kasie bali ni mfano wa Kasie alivokuwa pale nilipopokea maua kutoka kwa dadii...

Kasie mahabat nyonda ake dadii.
 
Rich mavoko njoo pande hizi, madam kasie kaamua kukupigia promo wimbo wako, jiandae kula mvua za viewers wa jf leo
 
Habari za jumapili nyote,

Kwa majina naitwa Kasinde aka Kasie aka nyonda ake dadii heheheh.

Naanza na tabasamu maana ndo lililojaa usoni. Iko hivii......

Leo asubuhi kwenye saa moja na nusu hivi nikasikia kengele ya mlango inaita.... mmmhh nikajiuliza asubuhi hii nani huyu? Basi nikaeleka mlangoni kufungua huku nikiwa nimevaa house coat sijui kwa kiswahili linaitwaje maana nilikuwa bado sijaamka.

Basi ile kufungua mlango nakuta ni kijana kanisalimia kisha kaniambia huu mzigo ni wako nimwambie nikuletee ila naomba uweke sahihi yako hapa kuwa umepokea mzigo. Basi nikasaini kisha nikapotea mzigo ilikuwa ni bunch of flowers kwa kiswahili nikisema kifundo cha maua sijui nakuwa nimepatia au nimepoteza maana. Haya, kwanza yananukia nikaanza kuyanusa hapo huku nikitabasamu nikafunga mlango wangu nikiwa naelekea sebuleni nikafunga bahasha iliyokuwa juu ya maua oooh maua yametoka kwa dadii ake Kasie woooow nikajikuta nimetamka thank you dadii.

Ndani ya bahasha hiyohiyo yenye kadi nikakuta flash nikakimbia kwwnye runinga nikaiweka loooh..... sio kwa mahaba haya jamani.

Kuna wimbo ameni dediketia nami nauweka hapa muusikilize mdundo maneno ujumbe daaah hadi chozi limenitoka kwa furaha yaani.

Wimbo uko kimahaba hadi najiona nimerudi kuwa na miaka 18 looh hehehehehehehehee.
Dadii amenikumbusha mahaba ya enzi zetu tukiwa tunasoma ilikuwa mkiandikiana barua pale chini unaweka na wimbo kama dedication kusindikiza ujumbe uliotuma.

What should I say...... I love you dadii and Am Ready..... mmuah! !



Ngoja niwaulize wadada, hivi mpenz wako akikutumia wimbo huu utajisikiaje.....

Mie mahaba ndo yameamka hapa wiki yote kuanzia leo ntakuwa ndo wimbo wangu nausikiliza huku nikiwaza jinsi nkatavokuwa namuimbia mtoto wangu na dadii tangu akiwa tumboni.

Thank you so much dadii uncle wake Lawre.... mmmuuaahhh.

2Uhhy3

Huyo si Kasie bali ni mfano wa Kasie alivokuwa pale nilipopokea maua kutoka kwa dadii...

Kasie mahabat nyonda ake dadii.

Hongera zako the Kasie Great!
 
Rich mavoko njoo pande hizi, madam kasie kaamua kukupigia promo wimbo wako, jiandae kula mvua za viewers wa jf leo

Hahahahahhaaa jamani sio kumpigia promo mie nimewasimulia kilichonitokea leo asubuhi na huo wimbo ni mzuri kwakweli na ujumbe wake unapenya hadi kumoyo. .... yaani nilivokuwa nautizama utasema naimbiwa live na dadii heheheheheheh

Vile napendaga mziki basi mahaba ndo yanaendaga na mziki.....
 
The Italian Girl bado hujarudi Tanzania? Karibu nyumbani tumekumic wadogo zako!

Hahahahaaa badoo anamtumikia kafiri, sasa kwa mahabat ya dadii hata sijui kama ntapata nafasi ya kurudi nyumbani sijui safari hii boti litaelekea uelekeo gani.....
 
Hahahahaaa badoo anamtumikia kafiri, sasa kwa mahabat ya dadii hata sijui kama ntapata nafasi ya kurudi nyumbani sijui safari hii boti litaelekea uelekeo gani.....
Mara nyingi uelekeo ni ule ambao malkia atahitaji kwenda kwahiyo nahodha atafanya kama vile utavyomwagiza...
 
Yaan kasie nilijua tu kajisifia yeye mwenyewe wala sikuwaza kuakafunguliwa uzi
Ila una maneno mazuri sana,,,yaan una vionjo ,,sijajua utakua ni mwanamke mrembo sana (navyokufikiria kichwani)
Halaf una vituko wewe
 
Mara nyingi uelekeo ni ule ambao malkia atahitaji kwenda kwahiyo nahodha atafanya kama vile utavyomwagiza...

Hahahahaaa looh mbona unausemea moyo wa dadii.... napendaga masapraizi yake safari zake zote zinanihorojesha hatarii.
 
Yaan kasie nilijua tu kajisifia yeye mwenyewe wala sikuwaza kuakafunguliwa uzi
Ila una maneno mazuri sana,,,yaan una vionjo ,,sijajua utakua ni mwanamke mrembo sana (navyokufikiria kichwani)
Halaf una vituko wewe

Hahahahaaa mama Sabrina bana, kiukweli nyuzi nyingi humu najifungulia mwenyewe.
Asante kiukweli maneno mengi nnayo nahisi nimezaliwa hivo kuwa na mpangilio wa maneno maneno hadi dadii akakaa sawa hehehehee.

Kwa urembo hata mie sijui japo kioo hakinidanganyi basi sipo kwenye chati ya warembo ila naweza kuwa wa mwisho kwenye listi ya hao warembo pamoja na ukongwe wangu himoo hehehehee.

Daah utundu hii hulka wengi wameniambia ninayo sio kazini kwenye hafla kwenye jumuiya basi hewala. .... najikuta tuu niko mtundu nahisi na hiki kinasaba cha utundu nimezaliwa nacho.

Jumapili njema kwako na salamu kwa Sabrina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom