Mungu aweke baraka zake hapo asee maana nahitaji hayo mahaba kama nina njaa ya wikiUsihofu, burudika na kawimbo na nina uhakika huyo future wako lazima akuongezee mahaba baada ya kum dediketia huu wimbo.
Kila la kheri.
Mungu aweke baraka zake hapo asee maana nahitaji hayo mahaba kama nina njaa ya wiki