Wanakutamani Kasie Wangu....

Wanakutamani Kasie Wangu....

I wish I cud be richmavoko!
Niokote hii dhahabu chini ya mpera [ emoji23]
 
Haya bhana endelea kuuburudisha moyo na masapraizi ya dadii wako.

Hahahahaaa dadii ni kituo bin nukta. Kasie ndo kafika Kigoma mwisho wa reli hapana chezea dadiii.

Umenikumbusha siku aliponigonga na gari lake kwa makusudi halafu akanitupia kitita cha dola 2000 mapajani. Kwakweli sapraizi za dadii mie mwenyewe nyoronyoroo. Acha niendelee kula raha za dadii tuu hakuna namna.
 
I wish I cud be richmavoko!
Niokote hii dhahabu chini ya mpera [ emoji23]

Hahahahaaa Ngushi usinifurahishe...... wee uchukue huu wimbo ukariri hayo maneno jioni mtokee mahabat wako huku ukimuimbia huu wimbo hata kama sauti yako ni ya debe nakwambia atakukumbatia na kukupa busu la bashasha.
Kazi kwako kwa haya maneno ya huu wimbo bila hata hela unapewa mzigo kiroho safii. Wanawake tunapendaga vitu kama hivi.
 
Hahahahaaa dadii ni kituo bin nukta. Kasie ndo kafika Kigoma mwisho wa reli hapana chezea dadiii.

Umenikumbusha siku aliponigonga na gari lake kwa makusudi halafu akanitupia kitita cha dola 2000 mapajani. Kwakweli sapraizi za dadii mie mwenyewe nyoronyoroo. Acha niendelee kula raha za dadii tuu hakuna namna.
Ha ha ha ha! Umenifanya nipaki gari kwanza nicheke kwahiyo ulivogongwa na dadii maumivu yote yalipoozwa kwa takribani milioni tano!! Daah kweli dadii ni noumaa!
 
Hahahahaaa Ngushi usinifurahishe...... wee uchukue huu wimbo ukariri hayo maneno jioni mtokee mahabat wako huku ukimuimbia huu wimbo hata kama sauti yako ni ya debe nakwambia atakukumbatia na kukupa busu la bashasha.
Kazi kwako kwa haya maneno ya huu wimbo bila hata hela unapewa mzigo kiroho safii. Wanawake tunapendaga vitu kama hivi.
Huku Nanjilinji ukimuimbia anabaki amekodoa macho! anawaza Huyu Jamaa amechanganyikiwa nini......
Hawako romantic kabisa
 
Huku Nanjilinji ukimuimbia anabaki amekodoa macho! anawaza Huyu Jamaa amechanganyikiwa nini......
Hawako romantic kabisa

Hahahahahhaaa inabidi uwafundishe kuwa romantic au kuwa kimahaba ili mkifika ulingoni hamtumii nguvu nyingi.

Anza na kuwapeleka bunch of roses.... automatic a smile will dress their faces. Slowly they'll be romantic and you'll enjoy.

All the best mtized.
 
Ha ha ha ha! Umenifanya nipaki gari kwanza nicheke kwahiyo ulivogongwa na dadii maumivu yote yalipoozwa kwa takribani milioni tano!! Daah kweli dadii ni noumaa!

Nimepotea nilikuwa nautafuta huu uzi hatimaye nimeupata, haya fatilia humu ilikuwaje sijui kama hiyo link itafunguka au laah.

Ukinitibua Nami Nakutibua

Isipofunguka tafuta uzi niliouanzisha as kasinde kichwa cha uzi... Ukinitibua nami Nakutibua. Humo ndo utayaona matusi ya dadii hehehehe ati hadi ukapaki gari pembeni ucheke hahahahahahaa haya nishukuru kwa kukupa cheko mwanana.
 
Nimepotea nilikuwa nautafuta huu uzi hatimaye nimeupata, haya fatilia humu ilikuwaje sijui kama hiyo link itafunguka au laah.

Ukinitibua Nami Nakutibua

Isipofunguka tafuta uzi niliouanzisha as kasinde kichwa cha uzi... Ukinitibua nami Nakutibua. Humo ndo utayaona matusi ya dadii hehehehe ati hadi ukapaki gari pembeni ucheke hahahahahahaa haya nishukuru kwa kukupa cheko mwanana.
Daaah! Kwanza nimefurahi kunikumbuka Kasie the Great... Pili kunipa uzi flani hivi amazing Dadii! Poa ngoja niucheki
 
Asante kwa kukavujisha haka kawimbo kwangu.

Ngoja nikapakue kisha nimtumie mmoja kati yao, yule ambae ndio naiona future yangu nikiwa nae.
 
Asante kwa kukavujisha haka kawimbo kwangu.

Ngoja nikapakue kisha nimtumie kati mmoja yao, yule ambae ndio naiona future yangu nikiwa nae.

Usihofu, burudika na kawimbo na nina uhakika huyo future wako lazima akuongezee mahaba baada ya kum dediketia huu wimbo.

Kila la kheri.
 
wanakuja wengi wengi vuta subra bibie
Na wasije wabakie hukohuko. Dadii yangu ameshaniasa. ...... wananitamani tuu hao hawana issue nami. Nami hata siwasikilizi na wala wasijisumbue kuja wabakie hukohuko maana hata sitowasikiliza.

I love my dadii so much. Many kisses to my dadii..... mmmmuuuahhhh! !
 
Na wasije wabakie hukohuko. Dadii yangu ameshaniasa. ...... wananitamani tuu hao hawana issue nami. Nami hata siwasikilizi na wala wasijisumbue kuja wabakie hukohuko maana hata sitowasikiliza.

I love my dadii so much. Many kisses to my dadii..... mmmmuuuahhhh! !
tupia na picha basi bibie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom