Wanakotoka mastaa bongo

Safety last

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
4,227
1,389
Sina maana ya ukanda ila mikoa ya LINDI, MTWARA DODOMA KIBAHA,MBONA HAIZALISHI MABINTI AMBAO NI MASTAA AU WANAOWAKILISHA TAIFA KWENYE MAMBO TOFAUTI TOFAUTI mf riadha ,umiss taifa,BBA,Utangazaji ,nk
 
Waulize asilia yao, usiwaone hapa Dar ukafikiri ni wandengereko, wengine wapangwa, wanyakyusa na hata wamakua wapo
 
Hivi kumbe kuna mkoa unaitwa kibaha? Mbn mimi ni star na nimetokea sehemu mojawapo kati ya hzo ulzoztaja?
 
Back
Top Bottom