motonkafu
JF-Expert Member
- Dec 2, 2015
- 1,019
- 703
Wanajiita wa kimataifa, wanajiandaa na mechi za kimataifa hawajui kumbe trick hio inawagharim wao wenyewe.
1. Kukaa mada mrefu bila kucheza kuna hatari wachezaji kuongezeka kilo ndo kinachotokea leo Ngoma anashindwa ata kuruka vichwa.
2. Kukaa mda mrefu bila kucheza kuna hatari ya wachezaji kusahau kasi ya mpira wao waliozoea wakaanza style yao mpya ndo kilichotokea leo yanga wanashindwa kuendeleza kasi yao ya zamani wanacopy mpira wa El hal wa kupoozesha mpira wanapoa wanapigwa goli mapemaaa
3. Kukaa mda mrefu bila kucheza kunatengeneza saikolojia yah kuzubaa mwili unakua umepoa ndo kilichowatokea leo yanga wanashindwa kupush mpira wanalinda wakiwa nyumbani, wanapigwa bao mapema wanazawazisha kwa mtu kujifunga masikin ya mungu.
Sasa wamedroo nyumbani wamewapa wapinzani goli la ugenini, hihihihiiiii sijui wataponea wapi kwa Pharaoh.
Ngoja tuwaone walamba pipi kesho
1. Kukaa mada mrefu bila kucheza kuna hatari wachezaji kuongezeka kilo ndo kinachotokea leo Ngoma anashindwa ata kuruka vichwa.
2. Kukaa mda mrefu bila kucheza kuna hatari ya wachezaji kusahau kasi ya mpira wao waliozoea wakaanza style yao mpya ndo kilichotokea leo yanga wanashindwa kuendeleza kasi yao ya zamani wanacopy mpira wa El hal wa kupoozesha mpira wanapoa wanapigwa goli mapemaaa
3. Kukaa mda mrefu bila kucheza kunatengeneza saikolojia yah kuzubaa mwili unakua umepoa ndo kilichowatokea leo yanga wanashindwa kupush mpira wanalinda wakiwa nyumbani, wanapigwa bao mapema wanazawazisha kwa mtu kujifunga masikin ya mungu.
Sasa wamedroo nyumbani wamewapa wapinzani goli la ugenini, hihihihiiiii sijui wataponea wapi kwa Pharaoh.
Ngoja tuwaone walamba pipi kesho