johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
- Thread starter
- #41
Nani huyo tena!UJUE MTI WENYE MATUNDA NDIYO HURUSHWA MAWE, AU MBWA ANAYETEMBEA NDIYO HUTUPIWA JIWE. KWAHIYO HAO WAFA MAJI WASIKUZUIE KUCHAPA KAZI
Nani huyo tena!UJUE MTI WENYE MATUNDA NDIYO HURUSHWA MAWE, AU MBWA ANAYETEMBEA NDIYO HUTUPIWA JIWE. KWAHIYO HAO WAFA MAJI WASIKUZUIE KUCHAPA KAZI
Koko Beach ulisha jiandaa kukaa mguu Sawa naonaLumumba fursa kila kona siyo hapo Ufipa mnagombania mishahara ya wabunge!!!........ Kazi afanye Sugu posho wagawane akina mrangi wapi na wapi?!!
Bashite alimeza hirizi, atumbuliwi yule
Kwani beach za Miami Costa Rica Hawaii Honolulu zikoje? Tunisia wazungu wanaokuja kupunga upepo Ni zaidi ya watalii was Kenya na Tanzania. We need to think bigKwenye ishu ya COCO beach JPM yuko sahihi sana
Ile ni beach ya wanyonge, kwenye sherehe za Iddi na Christmass wanyonge huenda hapo kujiburudisha, sasa ukianza kujenga mistructure ya kuwabana raia wasiingie, au kuwasegregate unakuwa umewadhulumu.
Ndaulo be.. mswamu mwabasbite .. unogageMnogage.........ndauli mdimi?!
Huyu Kaka na fukwe wapi jamani? Zaidi ya mbegani anajua wapi Tena? Huu mradi angepewa kadogosa mngeona vitu vya maana,OK, kwa hiyo kikao cha madiwani kupanga bajeti ya bilioni 14. 5 bashite ndio kawapangia iwe hivyo akiwemo halima mdee
Na ule mradi wa Mto Msimbazi bashite ndio anaukwamisha?
Machinjio ya Vingunguti billion 12.5 nayo amepanga bashite basi madiwani wote wa ukawa ni mizigo
Nimemsikia ivi RC DSM mbona hatumbuliwi?
Kwani Wa morogoro alitumbuliwa kwa sababu ipi? Makonda, Mkuu Wa wilaya ya ilala na kinondoni pamoja na wakurugenzi wao na ma- DSO wanatakiwa ama kuondolewa au kuhamishwa na kushushwa cheo kwa uhusika wao Wa kadhia ya coco na machinjio ya vingunguti!
Awe fair kwa wote kwani Wa morogoro na wasaidizi wake na RPC wamemwagwa!
Kwanza kabisa namshukuru mh Rais Magufuli kwa usikivu wake, uwazi pamoja na ufuatiliaji wa hoja mbalimbali za maendeleo.
Ahsanteni nyote
Maendeleo hayana vyama!
Nimemsikia ivi RC DSM mbona hatumbuliwi?
Hivi hauelewi kabisa sababu za Makonda 'kusevu'?Maajabu ya Magufuli na ubabe wake wote akifika kwa BASHITE anaufyata..! Raha sana!
Nimemzarau mmno!
jamii forums haipingwi na watu kama musiba,ila wale kuku waoitumia kutukana wakuu wa mamlaka matusi ya wazi.MUNGU IBARIKI JAMIIFORUMS, MUNGU WABARIKI WOTE WANOTOA MICHANGO YA DHATI YENYE KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA NCHI YETU. MUNGU AWALAANI WALE WOTE WANAOKESHA USIKU NA MCHANA KUIPIGA VITA JAMIIFORUMS WAKATI NA WAO NI WANACHAMA WENZETU. AMEN.
Nimekumbuka swali lako mkuu!Kinachoudhi ni kuwa hawa jamaa walipokuwa wanatamka hizo hela hata kwenye masikio yao hawawashwi?
Hata asipotumbuliwa hizi wiki za mwisho za septemba 2019 hatokaa azisahau. Manake si kwa kubezwa huko. Wana bandari salama mnaowajibika kwake mkae chonjo!!! Njaa kaliBashite alimeza hirizi, atumbuliwi yule