Wanajeshi watoa kichapo mandela road

Nyanya mbichi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
3,716
Reaction score
2,220
Leo kuna foleni kali hasa kwa magari yatokayo ubungo kwenda buguruni.

Tulivyo vuka daraja la matumbi tukasikia kin'gora kumbe ni Magari ya wana jeshi yamebeba zana za kivita wanatumia barara itokayo buguruni kwenda ubungo wao wamefanya kinyume .

Sasa kuna gari zikawa zinakuja MP wakateremka ili magari yakae kando heee kumbe dereva wa gari ndogo alikua amepaki gari pembeni si mjeshi mmoja akaanza kumtandika hadi basi. Tukio nimeliona vizuri sema picha nilishindwa kuchukua.
 
Ungepiga hata picha eneo la tukio habari ikamilike mkuu!!
 
Si sawa kupiga raia,wakumbuke raia ndio wanaowalipa wao mishahara kupitia kodi wanazokatwa,pia wao waliamua kuforce kupita njia ambayo siyo yao.Walipaswa wawe wapole na si kujichukulia sheria mkononi,na kwanin wasisafirishe zana zao mida ya usiku wakat hakuna purukushani nyingi.Kama walinzi wetu wanatupiga adui watafanyanyaje? Pia wakumbuke mafunzo yao ni ya hali ya juu na hawakufunzwa kuwapiga raia.NADHANI WAKATI UMEFIKA KWA BAADHI YA WANAJESH KUACHA KUHARIBU SIFA NZURI YA JESH LETU.
 
Kumbe maskini alikua amepaki pembeni ya barabara kwanini sasa apigwe ?
 

No discipline means doing anything arbitrarily!
 
Hawa ndio wale makuruta ambao ni plain kabisa ni rank au ana mbavu moja beganimyaani ni tabu tupu,,,hawa jamaa siku wakichukua nchi sijui itakuaje?
 
Ni uonevu huu, hawa wanatakiwa wakutana na trafic waliopinda kama yule wa mwaka 2011....

 
Mchezo ndio kwanza unaanza, Raia siku hizi wanachonga sana, ngoja amri ya hatari itangazwe kutoka ndani saa mbili asubuhi kulala saa kumi jioni, tuone hizo wowowo zenu mtatingishia wapi?
 
Nampongeza kikwete pamoja na uanajesh wake wote watu wanamsema mengine ni ya kuuzi lakini mwanajeshi huyu ameonyesha ukomavu wake wa kujua namna ya kuwachukulia raia na mara zote anasmile.Kwanin nyie wanajesh mnaopga raia msiige tabia hii ya amir wenu mkuu?
 

mkuu niliwaambia abiria wenzangu kuwa hivi kwa nini wasingesafirisha usiku kukiwa tulivu??.
 
Ungepiga hata picha eneo la tukio habari ikamilike mkuu!!

mkuu@chakii nilikua viti vya nyuma vya UDa halafu kile kioo kina ukungu fulani hakiko clear so nisingeweza kupata picha mzuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…