Wanajeshi wa Tanzania na vitambi !

Wanajeshi wa Tanzania na vitambi !

Acha dharau Majigo ...Nadhani unawahukumu makamanda wote bila sababu, kama wapo wenye "vitambi" ni wawili katika mia. Jifunze kuthamini ulichonacho ili uweze kuthaminiwa. Sioni "vitambi" hapa:-

5acdGen.-Katumba-with-other-UPDF-officers.jpg


2013_5$largeimg126_May_2013_154317133gallery.jpg

Umeamua Kuweka Picha
Inawezekana Ilikuwa Wakati Ule Wa Nyerere, Lakin Wengi Wao Kwa Utawala Huu, Wamekaa Kizembe...Huo Ndo Ukweli!!
 
mleta thread,wanajeshi wapiganaji hawapo huku mitaani! hata hivyo kwa anaelisifia jeshi la Rwanda atuletee takwimu za jeshi hilo ktk medani ya vita! ktk JWTZ kwenye medani za kivita liko vizuri.limeshapigana na nchi nyingine,na kushinda mpaka kuteka nchi hio na kuondoka.pia,waulizeni wanyarwanda walichopa huko mashariki mwa DRC.muwe updated!
 
Kamuulizeni Big Dady Tezi Dume Kwanini Alimtuma MPEWA SUMU Mwandosya Aende Kumwomba Radhi PK Kigali Mwaka Jana Kwani Taarifa Zote Za Kijasusi Zilimtaarifu Mr. TEZI Kuwa Rwanda Na Washirika Wake Wa Ndani Wameshaitega Tanzania ktk Kila Ngome Zake Kuu KIBAHA, NACHINGWEA, KIZUKA, MARA, TABORA na MWANZA Hivyo TZ Ingelianzisha Tu TUNGEKIONA CHA MOTO......Na Nimegundua Wengi Wenu Mnaonijibu Humu Haswa ktk Mada Hii Ni Watu wa JWTZ Tena Idara Ya MI Na Wengine Ni Watu Wa Ofisi Ya Mzee Othman Rashid au Kwa Mzee Mombo ILA Ukweli Wote Mnaujua Hivyo Msiwahadae Watanzania Humu JF. Tanzania Bado Sana Kwa Rwanda Haswa Kivita.



Ulionaje alipotoka tu kule Mwandosya uliona gazeti la the news of Rwanda liliendelea kuandika ule upuuzi kuhusu Tanzania tena?

Jiulize kwa nini Raisi mzima kagame aliondoka ikulu na kwenda hotelini kuonana na Katibu mkuu wa CCM abdulahman Kinana kwa mazungumzo.Ulishawahi ona Raisi anaenda hotel kuonana na mtu? raisi kawaida anamwita mtu ikulu wanaongea naye. Aliona mambo magumu

Unaongea usichojua Kipigo cha M23 bado kinakupa kiwewe.
 
mleta thread,wanajeshi wapiganaji hawapo huku mitaani! hata hivyo kwa anaelisifia jeshi la Rwanda atuletee takwimu za jeshi hilo ktk medani ya vita! ktk JWTZ kwenye medani za kivita liko vizuri.limeshapigana na nchi nyingine,na kushinda mpaka kuteka nchi hio na kuondoka.pia,waulizeni wanyarwanda walichopa huko mashariki mwa DRC.muwe updated!

Jeshi la Rwanda ni jeshi la kikabila lililowahi shinda vita kabila moja tu.Lina uzoefu wa kupiga na kuonea kabila la wahutu.Huo ndio uzoefu wao na uwezo wao kivita waliowahi kuonyesha na dunia ikaona.Walipigana na wahutu wananchi wenzao wa Rwanda wakawashinda.

Documented war waliyoshinda ni ya kikabila.Kama zile za kikabila tunazosoma katika historia ZA KABILA FULANI KULISHINDA KABILA FULANI.

Ushindi wao ni wa ndani ya nchi yao wenyewe dhidi ya wananchi wenzao tofauti na JWTZ ambalo limepigana kulinda mipaka na nje ya nchi na kushinda vita hadi kukomboa nchi nyingi tu.
 
UNANUKA UJINGA na UPOPOMA............Jisafishe Kwanza!

we muhangaza au mhima?mnyarwanda hawezi kuongea kama mzaramo,vita ya 94 tuliwalea humu mkapona kukatwa mapanga leo you shit where you eat...mabele ya nyoko yanzeso...am just sayin'
 
kuna mjeshi huku kwetu alipigwa vibaya na muuza mkaa

sasa nikajiuliza kma kapigwa na mtu Hana mafunzo yoyote zaid ya kubeba magunia angekutana na mtu kala mafunzo yote ya kijeshi si ingekuwa zahama

Huyo Mjeda Alikuwa Peke Yake Na Ndio Maana Alipigwa...Wanatabia Ya Kusaidiana Mmojammoja hawana Lolote
 
Kuna kila sababu ya kuwaombea mechi ya kirafiki wanajeshi wetu na watu kamaAL SHABAAB, BOKO HARAM au hata wanamgambo wa TALIBAN kwa ajili ya kupasha misuli....na kujiweka fit kwa ajili ya mashambulizi ya kushtukiza...

Wataumbuka Mkuu..Jeshi Letu Limejaa Rojorojo, Tuwawekee Mechi Na panyaroad
 
Last edited by a moderator:
...kweli hii kali hv hawa Askari wa Rwanda ndio wale wale M23...inakuwaje leo tena wawe bora kuliko TPDF
 
we muhangaza au mhima?mnyarwanda hawezi kuongea kama mzaramo,vita ya 94 tuliwalea humu mkapona kukatwa mapanga leo you shit where you eat...mabele ya nyoko yanzeso...am just sayin'

Urakoze cyane kumumbwilila.Tuko fiti kivyoyote asione Muonekano wa kitabu akadhani ndio yaliyomo
 
Jeshi la Rwanda ni jeshi la kikabila lililowahi shinda vita kabila moja tu.Lina uzoefu wa kupiga na kuonea kabila la wahutu.Huo ndio uzoefu wao na uwezo wao kivita waliowahi kuonyesha na dunia ikaona.Walipigana na wahutu wananchi wenzao wa Rwanda wakawashinda.

Documented war waliyoshinda ni ya kikabila.Kama zile za kikabila tunazosoma katika historia ZA KABILA FULANI KULISHINDA KABILA FULANI.

Ushindi wao ni wa ndani ya nchi yao wenyewe dhidi ya wananchi wenzao tofauti na JWTZ ambalo limepigana kulinda mipaka na nje ya nchi na kushinda vita hadi kukomboa nchi nyingi tu.

chief, actually vita ya 1994 kurudi nyuma, RPA ilisaidiwa na Uganda, in fact one of the first battalions ziliongozwa na salim saleh, mdogo wake Museveni. Na vile vile 1994, majeshi ya habyarimana hayakuwa yamejipanga following kutunguliwa kwa ndege, ile confusion ndio ikasababisha wapigwe na kagame ambaye alikuwa kashapanga strategies kitambo.
vinginevyo hawa jamaa ni weupe tu. Ndio maana since then mpaka leo wameshindwa kuwamaliza ex-FAR kule DRC badala yake wanaua watoto na wanawake. Kuna wakati nadhani 2008 or 2009 waliendesha operation ya kuwapiga FDLR, wakachapwa na FDLR mpaka wakaanza kulalamika via new times eti UN inawasaidia FDLR!? can you imagine jeshi la namna hiyo?
 
chief, actually vita ya 1994 kurudi nyuma, RPA ilisaidiwa na Uganda, in fact one of the first battalions ziliongozwa na salim saleh, mdogo wake Museveni. Na vile vile 1994, majeshi ya habyarimana hayakuwa yamejipanga following kutunguliwa kwa ndege, ile confusion ndio ikasababisha wapigwe na kagame ambaye alikuwa kashapanga strategies kitambo.
vinginevyo hawa jamaa ni weupe tu. Ndio maana since then mpaka leo wameshindwa kuwamaliza ex-FAR kule DRC badala yake wanaua watoto na wanawake. Kuna wakati nadhani 2008 or 2009 waliendesha operation ya kuwapiga FDLR, wakachapwa na FDLR mpaka wakaanza kulalamika via new times eti UN inawasaidia FDLR!? can you imagine jeshi la namna hiyo?

Mkuu nashukuru kunielimisha vizuri.Hili nilikuwa silijui.
 
Mheshimu Baba Yako na Mama Yako upate miaka mingi na heri Duniani....!SoB

Hao maaskari wana "Vitambi" hawana "Vitambi"? Nimeweka hiyo Picha kwa sababu maalum...! MtFck..!

muhoozi.jpg

Huna Jipya Na Nimekuumbua Na Usije Ukadhani Wote Humu Ni MAPOPOMA Kama Wewe. Tafuta Wa Kuwadanganya..........Unaleta Upuuzi Na Uwongo Humu JF Halafu GENTAMYCINE Nikuache? Nakupasulia Tu. Uko Out Of Context Na Hoja Hapa Siyo Kutuwekea Tena Picha Hii Ya Pili Tena Ya Muhoozi Akiwa Anavishwa Nishani Bali Tulitaka Tuzungumzie Kuhusu Maaskari Wa Hapa Kwetu Tanzania. Na Tusi Hilo Ulilonitukana Huko Mwishoni Mwa Sentensi Yako Nadhani UMEMTUKANA Tu Mama Yako Mzazi Vinginevyo Inawezekana Yeye Labda Kabandika Kifuu. Na Najua Hasira Yote Hii Kwangu Ni Baada Ya Mimi Kukutoa NISHAI Na Sasa Una Maumivu. KUNITUSI MIMI NI SAWA NA " MTU KUMPIGA TEKE CHURA KWANI HAPO UNAKUWA UNAMWONGEZEA TU MWENDO WAKE ". Na Sitoacha Kuwaumbueni MAPOPOMA Kama Nyie Humu Na Kuwapa Makavu Yenu Live Kwani Naitendea Haki ID Yangu Ya GENTAMYCINE.......NIMEMALIZA.
 
Ulionaje alipotoka tu kule Mwandosya uliona gazeti la the news of Rwanda liliendelea kuandika ule upuuzi kuhusu Tanzania tena?

Jiulize kwa nini Raisi mzima kagame aliondoka ikulu na kwenda hotelini kuonana na Katibu mkuu wa CCM abdulahman Kinana kwa mazungumzo.Ulishawahi ona Raisi anaenda hotel kuonana na mtu? raisi kawaida anamwita mtu ikulu wanaongea naye. Aliona mambo magumu

Unaongea usichojua Kipigo cha M23 bado kinakupa kiwewe.

Alimwita Wakakutane Hotelini Baada Ya Kuona Kuwa Huyo Mjumbe Wenu Mliyemtuma Kwake ANANUKA, MCHAFU na HANA HADHI YA KUINGIA IKULU YA KIGALI. Na Kwa Faida Yako Tu Hata Kiitifaki Waziri Huwa Hana Sana UMUHIMU Wa Kukaribishwa IKULU Na Hili Jambo Halihitaji Uwe Na Uelewa MKUBWA Saaaaaaaaaaaaaaaaaaana Kulijua Bali Ni Akili Ndogo Tu Tena Ya Kawaida Unatakiwa Uwe Nayo Ili Kulijua. Ila Sikushangai Na Siyo Kosa Lako Bali Ni UPOPOMA Wako Unaokusumbua! Jiulizeni Kwanini Baadhi Yenu Huwa NAWADHARAU Mtapata Majibu. Hamjui Kujenga Hoja ILA Hivi Hivi Tu Na Taratibu Nitakuwa Nawasema Ili Muwe Fit Mentally na Intellectually. UNADHANI IKULU YA KIGALI WANAINGIA TU KILA MTU KAMA YA MAGOGONI? Ni Sehemu Ya Kuheshimika Na Ina Utaratibu Wake Mkuu. Najua Umenichokonoa Hivi Ili NIFUNGUKE ZAIDI NA Ufaidike ILA Nakuchunia LAKINI NAKUHAKIKISHIA JESHI LA TANZANIA HALINA UBAVU WA KUPAMBANA NA JESHI ZURI na PENDWA LA RWANDA....Mrakoze Cyane!
 
we muhangaza au mhima?mnyarwanda hawezi kuongea kama mzaramo,vita ya 94 tuliwalea humu mkapona kukatwa mapanga leo you shit where you eat...mabele ya nyoko yanzeso...am just sayin'

Yaani Wewe Hujui Tu Mimi UKINITUKANA Humu Ndiyo Kwanza UNANIPANDISHA CHATI Kwani Wenye AKILI Zao Watajua Tu Kuwa Mmeshindwa KUJIBU HOJA ZA GENTAMYCINE Hivyo Mnaishia Tu Kunitusi Kwa Hizo Lugha Zenu Tata Za KIPOPOMA.
Na Mwaka Huu MPAKA MTABADILIKA Na Kuwa Watu Wenye Kujua KUFIKIRI Na Kamwe SITACHOKA!
 
Salam Za Dhati Kwenu Machief!
Jamani Ni Aibu Kuona Maofisa Wengi Wa Jeshi Langu La Tz, Wamevimba Matumbo Kuzidi Hata Raia Wa Kawaida...hiyo Ni Ishara Ya Ulelemama! Jirekebisheni Wanajeshi Wangu!


Jigo

Wewe yakanyage ndio utajua kuwa kitambi s mzigo
 
Alimwita Wakakutane Hotelini Baada Ya Kuona Kuwa Huyo Mjumbe Wenu Mliyemtuma Kwake ANANUKA, MCHAFU na HANA HADHI YA KUINGIA IKULU YA KIGALI. Na Kwa Faida Yako Tu Hata Kiitifaki Waziri Huwa Hana Sana UMUHIMU Wa Kukaribishwa IKULU Na Hili Jambo Halihitaji Uwe Na Uelewa MKUBWA Saaaaaaaaaaaaaaaaaaana Kulijua Bali Ni Akili Ndogo Tu Tena Ya Kawaida Unatakiwa Uwe Nayo Ili Kulijua. Ila Sikushangai Na Siyo Kosa Lako Bali Ni UPOPOMA Wako Unaokusumbua! Jiulizeni Kwanini Baadhi Yenu Huwa NAWADHARAU Mtapata Majibu. Hamjui Kujenga Hoja ILA Hivi Hivi Tu Na Taratibu Nitakuwa Nawasema Ili Muwe Fit Mentally na Intellectually. UNADHANI IKULU YA KIGALI WANAINGIA TU KILA MTU KAMA YA MAGOGONI? Ni Sehemu Ya Kuheshimika Na Ina Utaratibu Wake Mkuu. Najua Umenichokonoa Hivi Ili NIFUNGUKE ZAIDI NA Ufaidike ILA Nakuchunia LAKINI NAKUHAKIKISHIA JESHI LA TANZANIA HALINA UBAVU WA KUPAMBANA NA JESHI ZURI na PENDWA LA RWANDA....Mrakoze Cyane!

Dah pole ndugu nahifia vita coz havina mwisho mzuri
Nakushangaa wewe unayejiita intalectual umetumia vigezo gani kupima nguvu ya haya majeshi ya nchi mbili rwanda vs tz ila tambua congo ni nchi tofauti sana na tz tunajua warwanda ndio waasi wa kongo ila kuwa makini usipende kutoa conclusio kwa vituusivyo vijua usihadaike na vyombo vya habari tambua iddi amini akiwa na msaada mkubwa kutoka kwa ghadafi na majeshi yake tiif alitumia muda gani kuikimbia nchi sambusa Rwanda ambayo tayari imeanza kugawanyikaa makundi
Acha dharau mdogo wangu tanzania ni nchi yq mission
 
Mchokoze mmoja wapo mwny kitambi kwa kumpokonya mke then uje utupe mrejesho hapa hapa.

At agenda kuleta wasio na vitambi tema defender imejaaa
 
Back
Top Bottom