Wewe Una Askari Jeshi au Una Wasanii Tu! Ukitaka Professional Soldiers Ambao Wapo Very Intelligent, Focused, Courageous, Brave, Committed, Ethical na Very Respectful Nenda Nchini Rwanda. Askari Wa TPDF Wanamengi Sana Na Mno Ya Kujifunza Kutoka Kwa Wenzao Wa RPF........Ukweli Ndiyo Huo MKATAE au MBISHE.
. Tena wasithubutu tanzania itaumbuka....watutsi ni habari nyingine ktk medani za kivita na maarifa.
Wenye tumbo ni maafisa. Wanaokwenda front ni private hadi sajent. Ila wanaongozwa na makapten au majors. Wakubwa wanapanga logistic na kuangalia mbinu za kutumia. Hawana shida. Wanapata tu report.
Mchokoze mmoja wapo mwny kitambi kwa kumpokonya mke then uje utupe mrejesho hapa hapa.
Kwa upande wa wanamaji kama KMKM na Navy vitambi vinawasaidia kuelea.
Ok okey hongereni sana!Nasema Hili Tena Kwa MSISITIZO Mkubwa ASKARI JESHI WA TANZANIA NI CHA MTOTO KWA WANAJESHI WA RWANDA NA NAKUHAKIKISHIA TPDF HAWANA UWEZO WA KUPAMBANA NA JESHI LA RWANDA LA RPF........NINA UHAKIKA NA HILI KWA 100%. TENA WASITHUBUTU TANZANIA ITAUMBUKA....WATUTSI NI HABARI NYINGINE KTK MEDANI ZA KIVITA NA MAARIFA.
Rwanda!are you serious??Bange ni zao baya sana?
Yani wewe ndio MS3NG3 dunia nzima.
wale rpf wanovaa badge za njano began? hawana lolote kwanza afya mgogoro, wanatembea route match from kirehe to rwamagana ulimi nje kama km 60 hivi, ndo uje uwapime na tpdf?
umekosa kazi, wadanganye wasoijua Rwanda na matatizo yake
Toboa siri mkuu tuone nani mama na nani baba
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kweli hawana lolote wale ndio maana mmoja wao au wawili wakizidiwa mtaani wanarudi kambini kuita wenzao. Kibongo bongo mmoja mmoja hawawezi kabisa kurusha mikono ya kiume. Wao wanategemea mikanda tu! Yaani ukikutana naye mmoja site nzuri mrushie za kitaisoni uone atakavyotoka mbio. Sasa akirudi anakuja na kombania. Mmoja juzi kawakimbia panya road!hawana kitu sema si raia waga tunaogopa gwanda lakini ukiamua kupanga mkono mko wawili tu lazima ale kona kuwafata wenzie mm nasema hivi hakuna mwanajeshi wakunipiga tukiwa wawili tu over
1. RDF wameshindwa kupambana na ex-FAR since 1994 mpaka leo wanapounda FDLR, hii ni aibu! Huyo rais wenu PAKA a.ka pepe kale:A S wink: katishia kutupiga tumesubiri weeeee, mpaka leo kimya! hata kurusha karoketi kamoja?
2. Tanzania haijawahi kupoteza mechi toka enzi za kupambana na ukoloni, vita ya uganda na mechi ndogo ndogo kama comoro vs kanali nani sijui huko, M23 etc....
3. Hakuna siku yoyote Tanzania iliaibika vitani au kwingineko, hakuna sehemu yoyote ile iliyowahi kuripotiwa chochote kingine zaidi ya ushindi. Wewe kama unadai una siri za chini ya kapeti either ziweke hapa au kaa kimya. Siri gani hizo zisitoke BBC, CNN, Mwananchi au hata new times :A S wink:, ila uwe nazo wewe mwenye jina la ID kama antibaiyotiki za magonjwa ya zinaa?
wale ni waasi hawana rishe
m23 tuliowabonda hawakuwa watusi?
Ok okey hongereni sana!