Salam Za Dhati Kwenu Machief!
Jamani Ni Aibu Kuona Maofisa Wengi Wa Jeshi Langu La Tz, Wamevimba Matumbo Kuzidi Hata Raia Wa Kawaida...hiyo Ni Ishara Ya Ulelemama! Jirekebisheni Wanajeshi Wangu!
Jigo
Wewe Una Askari Jeshi au Una Wasanii Tu! Ukitaka Professional Soldiers Ambao Wapo Very Intelligent, Focused, Courageous, Brave, Committed, Ethical na Very Respectful Nenda Nchini Rwanda. Askari Wa TPDF Wanamengi Sana Na Mno Ya Kujifunza Kutoka Kwa Wenzao Wa RPF........Ukweli Ndiyo Huo MKATAE au MBISHE.
Chief Kwa Hali Hii Sizan Kama Wanaweza Himili Mikiki..Maana Ni Wazito... Hata Kutembea Ni shida!
Mkuu, hao kwa kulinda "ke" wapo imara...na kwa kuvunja matofali ndiyo kiboko!! Lakini hutumia ubabe kwenye Daladala na kwa raia wanyonge !! MajigoMchokoze mmoja wapo mwny kitambi kwa kumpokonya mke then uje utupe mrejesho hapa hapa.
Kwa upande wa wanamaji kama KMKM na Navy vitambi vinawasaidia kuelea.
Mchokoze mmoja wapo mwny kitambi kwa kumpokonya mke then uje utupe mrejesho hapa hapa.
Salam Za Dhati Kwenu Machief!
Jamani Ni Aibu Kuona Maofisa Wengi Wa Jeshi Langu La Tz, Wamevimba Matumbo Kuzidi Hata Raia Wa Kawaida...hiyo Ni Ishara Ya Ulelemama! Jirekebisheni Wanajeshi Wangu!
Jigo
Rwanda!are you serious??Bange ni zao baya sana?Wewe Una Askari Jeshi au Una Wasanii Tu! Ukitaka Professional Soldiers Ambao Wapo Very Intelligent, Focused, Courageous, Brave, Committed, Ethical na Very Respectful Nenda Nchini Rwanda. Askari Wa TPpDF Wanamengi Sana Na Mno Ya Kujifunza Kutoka Kwa Wenzao Wa RPF........Ukweli Ndiyo Huo MKATAE au MBISHE.
Mkuu, hao kwa kulinda "ke" wapo imara...na kwa kuvunja matofali ndiyo kiboko!! Lakini hutumia ubabe kwenye Daladala na kwa raia wanyonge !! Majigo