Wanajeshi nao wameamua kukesha leo

Wanajeshi nao wameamua kukesha leo

Amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote hakuna kutumia maji ya kuwasha ukileta unyumbu utakutana na za moto
 
Tayari magari ya kurusha maji washa washa kimara yameshawasili hii ni woga tuu ya waandamanaji kesho
Poleni sana askari wetu kwa kufaidisha mbu usiku wa leo😁
Leteni ujinga wenu tena mchezee goroli!! JWTZ na TANPOL hawacheki na kima.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sawa tutajitahidi, ila hili swala la kupanga maandamano siku za ibada halifai hata kidogo.
Samia siku anaapishwa alisema msisubiri 25/12 bali njooni siku yeyote matkuta wamejipanga

Pumnavu sana GenZ, mnashawoshiwa na malaya MangeKimambi wa California na malaya Maria Sarungi wa Kenya. Yaani nyie hamna akili zenu??
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom