Mimi nitakuwa Chawa wakoMimi de Gunner nasema ya kuwa niko katika maandalizi ya kuja kuwa mtu maarufu zaidi kutokea katika taifa hili, nijulikana dunia nzima by 2040..
Na naamini miaka ya hivi karibuni by 2030 Nitakuwa maarufu katika hii nchi. Tunzeni haya maneno, nitajitangaza kabisa kuwa ni mimi.. Ili kila wanajamii forum aone ni navyo yafikia malengo yangu
Ninaandika haya sio kwa ajili ya kufurahisha au kutaka attention ya watu, bali ni kama continuous affirmation kwangu na kila asomaye hapa.
Kuna wengine ambao hawa amini on the power of affirmations in this world, but everything on this world is built for us to reach them. The world is soo much bigger, and as Kanye west puts it, " the world is your your oyster"
We need to normalize saying out loud what we really want and need.
Machawa na sisi tuna michango wetu Mzee usitudharauSawa kwa kuleta ombi lako ila utanisamehe maana sita hitaji machawa katika circle yangu
Ohhhh.....Sifanyi mzaha katika hili.
HahahaHapo kwenye umaarufu ukiutaka mbona hata kesho mapema tu wabongo wote tunakujua… Vujisha pilau lako😁
Kama Mwijaku na MeninaHapo kwenye umaarufu ukiutaka mbona hata kesho mapema tu wabongo wote tunakujua… Vujisha pilau lako😁
HahahaAchana na mambo ya kuwa mtu mkubwa duniani, kuna ekari 50 huku kijijini zinahitaji watu wakung'oa visiki.
Njoo tung'oe visiki hukuHahaha
Nukuu Nimehifadhi...,.Mimi de Gunner nasema ya kuwa niko katika maandalizi ya kuja kuwa mtu maarufu zaidi kutokea katika taifa hili, nakujulikana dunia nzima by 2040..
Na naamini miaka ya hivi karibuni by 2030 Nitakuwa maarufu katika hii nchi. Tunzeni haya maneno, nitajitangaza kabisa kuwa ni mimi.. Ili kila wanajamii forum waone ninavyo yafikia malengo yangu
Ninaandika haya sio kwa ajili ya kufurahisha au kutaka attention ya watu, bali ni kama continuous affirmation kwangu na kila asomaye hapa.
Kuna wengine ambao hawa amini on the power of affirmations in this world, but everything on this world is built for us.. It is just us to tap into the right vibration. The world is soo much bigger, and as Kanye west puts it, " the world is your your oyster"
We need to normalize saying out loud what we really want and need.
Kila la kheri mkuuMimi de Gunner nasema ya kuwa niko katika maandalizi ya kuja kuwa mtu maarufu zaidi kutokea katika taifa hili, nakujulikana dunia nzima by 2040..
Na naamini miaka ya hivi karibuni by 2030 Nitakuwa maarufu katika hii nchi. Tunzeni haya maneno, nitajitangaza kabisa kuwa ni mimi.. Ili kila wanajamii forum waone ninavyo yafikia malengo yangu
Ninaandika haya sio kwa ajili ya kufurahisha au kutaka attention ya watu, bali ni kama continuous affirmation kwangu na kila asomaye hapa.
Kuna wengine ambao hawa amini on the power of affirmations in this world, but everything on this world is built for us.. It is just us to tap into the right vibration. The world is soo much bigger, and as Kanye west puts it, " the world is your your oyster"
We need to normalize saying out loud what we really want and need.