Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
habari za jioni ndugu zangu, nategemea kwenda shinyanga alhamisi kikazi. je ni hotel gani nzuri ya kufikia isiyozidi 50000
synga kubwa ndugu ila kama ni town nenda KARENA,VIGIMARK wametulia hotel moja ivi nimeisahau jina
liga hotel..
yani mkoa umekaa kiajabu haswa uwa nashindwa kuelewa kwanini uko vile, na madini yote yale?au labda uko vshinyanga yalipo madini ndo kumeendelea?