Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,690
- 11,175
Umeangalia movie inaitwa Immaculate ?Mimi sio mpenzi wa movie hasahasa za huzuni nina machozi ya karibu
Ila horror movies kidogo naweza kuangalia
Umeangalia movie inaitwa Immaculate ?Mimi sio mpenzi wa movie hasahasa za huzuni nina machozi ya karibu
Ila horror movies kidogo naweza kuangalia
Marefu kishenzi 2hr plusNimedownload zote ninazo mpka sasa,,,, ila ile part one nilicheki kama nusu saa nikazima mpaka leo sijaangalia tena
Kweli Kabisa.Nilisoma comment moja wanasema Shogun ni GOT yenye Ned stark aliye smart 😂kwamba Tonaraga ni smart sana...
GOT ni GOT tuu hata characters wake ni 🔥 nimecheki kazi waliyoifanya kwenye 3 body problem yule smugglers (Ser nani sijui alikuwa yupo kwa Stannis) unaona kabisa jamaa wana uwezo mkubwa
Haihuzunishi wala. Sema utajifunza jinsi wanawake wa japan walivyo obedient and loyal to their men. Heshima kama zote afu wanaume(Samurai) wapo tayari kufa muda wowote kwa ajili ya boss wao (liege Lord)Mimi sio mpenzi wa movie hasahasa za huzuni nina machozi ya karibu
Ila horror movies kidogo naweza kuangalia
Valar dohaeris😂Haijaifikia GOT hata Kidogo.
GOT ni habari nyingine mpaka Sasa bado sijaona series inayoifikia GOT.
1. Character development yake ni level nyingine.
2. Very unpredictable
Character unayemkubali sana unashtukia kaliwa kichwa shwaaaa.
3. Ile scene Arya stark anaua Men of House Frey.
Pia Pale Littefinger alivyojikuta yeye ndio anatakiwa ajibie mashtaka ya Sansa na analiwa kichwa shwaaaa.
Valar Morghulis - All Men Must Die
Ule ukanda wakiamua kupaisha movie wanajitaid..Kweli Kabisa.
Naona hata 3 Body Problem ni Kali kuliko Shogun
Nikipata nafasi nitaweza kuiangaliaHaihuzunishi wala. Sema utajifunza jinsi wanawake wa japan walivyo obedient and loyal to their men. Heshima kama zote afu wanaume(Samurai) wapo tayari kufa muda wowote kwa ajili ya boss wao (liege Lord)
lakini vipi ni movie nzuri kiasi inavosifiwa mitandaoni?Marefu kishenzi 2hr plus
Valah dohaerisHaijaifikia GOT hata Kidogo.
GOT ni habari nyingine mpaka Sasa bado sijaona series inayoifikia GOT.
1. Character development yake ni level nyingine.
2. Very unpredictable
Character unayemkubali sana unashtukia kaliwa kichwa shwaaaa.
3. Ile scene Arya stark anaua Men of House Frey.
Pia Pale Littefinger alivyojikuta yeye ndio anatakiwa ajibie mashtaka ya Sansa na analiwa kichwa shwaaaa.
Valar Morghulis - All Men Must Die
Yah, p2 ni unyama. Anza na 1. P3 itatoka mwakani inshallahlakini vipi ni movie nzuri kiasi inavosifiwa mitandaoni?
basi poa mkuuYah, p2 ni unyama. Anza na 1. P3 itatoka mwakani inshallah
Ina hizuni na kutisha piaHapana! Inatisha au ya huzuni?
Yah one of the best iko season 7 kama sikosei nakumbuka sanaGlad you asked coz You kno wI like to explain😎😎
Ipo hivi...
Spoils of wars hua inamaanisha vitu fulani vilivyochukuliwa vitani. Eg; Tz ikipigana na Kenya ikashinda vita basi ichukue vitu itakavyoona vinafaa labda tuseme michele, mifugo,pesa, dhahabu nk. So vitu hivyo vilivyotoka vitani ndio huitwa spoils of wars!
Kama uliangalia vizuri hiyo episode, Jaime &Bronn akiwa na jeshi lake la Lannister walienda kuvamia mji wa High Garden nyumban kwao Lady Olena na Margery Tyrrell. Jaime akamwambia lady olena serci kanituma nikukamate nikupeleke akutese na kukukata kichwa, ila jaime akasema kwa heshima yako nakupa chaguo ujiue mwenyewe. So olena akanywa sumu, but just before that alimwambia jaime "Tell serci i want her to know that it was me" kwamba yeye olena ndio alimuua Jofrey kwa sumu.
Baada ya olena kufa walichukua madhahabu na vitu vingine vingi wakawa wanarudi navyo. Hivyo vitu ndio spoils of war, hence jina la episode. Daenerys alivyofika na dragon wake alichoma mizigo yote waliyokua wamebeba kutoka high garden
A bit not much though is a horror season and you can't watch twice but the first one will be interestingIsn't that intimidating??
From will be best for youMimi sio mpenzi wa movie hasahasa za huzuni nina machozi ya karibu
Ila horror movies kidogo naweza kuangalia
Ser Davos the best smuggler alive in the world (Tyrion) sema jamaa alikuwa mtu mmoja mwaminifu kwa mabosi zake sanaNilisoma comment moja wanasema Shogun ni GOT yenye Ned stark aliye smart 😂kwamba Toranaga ni smart sana...
GOT ni GOT tuu hata characters wake ni 🔥 nimecheki kazi waliyoifanya kwenye 3 body problem yule smugglers (Ser nani sijui alikuwa yupo kwa Stannis) unaona kabisa jamaa wana uwezo mkubwa