Habari! Nahitaji mabinti wa kazi ktk kampuni ya usafi (Kaani Dry Cleaners)iliyopo Dar es salaam, mshahara wa kuanzia ni Sh.150000 kwa mwezi.
Umri usizidi miaka 35 pia kwa wale wenye vyeti vya food production (Certificate)and house keeping watakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchukuliwa.
Maombi yatumwe kwenye email hii kn6020@gmail.com ambatanisha wasifu wako na vyeti (CV)mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 12/12/2020
Simu: 0763476020
Umri usizidi miaka 35 pia kwa wale wenye vyeti vya food production (Certificate)and house keeping watakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchukuliwa.
Maombi yatumwe kwenye email hii kn6020@gmail.com ambatanisha wasifu wako na vyeti (CV)mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 12/12/2020
Simu: 0763476020