Wanahitajika mabinti katika kampuni ya usafi mshahara Sh.150,000

kaani

New Member
Dec 4, 2020
1
2
Habari! Nahitaji mabinti wa kazi ktk kampuni ya usafi (Kaani Dry Cleaners)iliyopo Dar es salaam, mshahara wa kuanzia ni Sh.150000 kwa mwezi.

Umri usizidi miaka 35 pia kwa wale wenye vyeti vya food production (Certificate)and house keeping watakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchukuliwa.

Maombi yatumwe kwenye email hii kn6020@gmail.com ambatanisha wasifu wako na vyeti (CV)mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 12/12/2020

Simu: 0763476020
 
150K kwa mwezi sio issue, ni kutaka awe na sifa za food production na house keeping kwa 150K.
 
Habari! Nahitaji mabinti wa kazi ktk kampuni ya usafi (Kaani Dry Cleaners)iliyopo Dar es salaam, mshahara wa kuanzia ni Sh.150000 kwa mwezi.

Umri usizidi miaka 35 pia kwa wale wenye vyeti vya food production (Certificate)and house keeping watakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchukuliwa.

Maombi yatumwe kwenye email hii kn6020@gmail.com ambatanisha wasifu wako na vyeti (CV)mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 12/12/2020

Simu: 0763476020
Edit heading hizo figure hazileti maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom