Mimi binafsi ninawashangaa sana Wanahisa wenzangu mliokuwa kwenye kikao cha Wanahisa kumruhusu Dr. Kimei kuendelea kuiongoza CRDB. Siku hiyo hiyo ya kikao angefukuzwa na asingeweza kurudi ofisini. Madudu anayoyafanya pale hayavumiliki. Namshauri ni vyema akajiuzulu leo ili tupate damu mpya.