Wanaharakati wakibongo

Jan 13, 2011
5
0
Mwanaharakati wa kweli afrika ni mandela peke yake,wengine wanatulkisha upepo,tuliowaamini wamwgeuka watawala badala ya viongozi,tuliowapa wavisimamie wamevifanya vyao na ukoo wao
 
Huwa nawauliza siku zote huyu mtu mnamuimba kama mwanamapinduzi wa Afrika,Je ameifanyia nini Afrika zaidi ya nchi yake?
 
Back
Top Bottom