GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 390
- 395
Nadiriki kusema kuwa katika watu ambao wangekuwa na msaada mkubwa katika kuleta mabadiliko ni wanaharakati pamoja na wasomi. Watu hawa wanafanya makongamano na mikutano hasa dar tena maeneo ya mahoteli ya kifahari na maeneo mashuhuri. Makongamano haya yanahudhuriwa na maprof na wasomi tu, mtanzania wa kweli ambae ndo mlengwa, anatagemewa apate mijadala hiyo kwa njia ya tv na radio. Kwa nini mnafanya haya huko dar pekee, njooni huku mikoani ambako ndiko kuna watz wanaotaka kufahamu kuhusu mabadiliko.