mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,052
- 5,425
Hapo penye nyekundu; wewe "stay tuned" na uendelee kucheza ngoma za wauaji akina IGHONDU na Jack Zoka; "stay tuned" ukicheza jinsi afisa usalama wa zamani Maembe aka Joka la mdimu anavyowaelekeza maharamia wa TISS kuishughulikia kambi ya LOWASA na upinzani. "Stay tuned"Nipo makini kufuatilia mwenendo wa media katika hii kamatakamata ya watuhumiwa wa kutekwa, kuteswa na kuumizwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda, na kuteswa wanahabari kwa ujumla wao kwani haijulikani nani atafuatia kung'olewa kucha na jicho baada ya Kibanda.
Nataka kuwaiti je, wanahabari baadhi wataendeleza ushabiki wao kwa CHADEMA badala ya kuwa objective Kama taaluma inavyowataka? Nimeona udhaifu mkubwa kwao kushabikia zaidi CHADEMA kinyume cha mipaka yao ya kazi. Let's stay tuned.