utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Waandishi makanjanja ni shida sana. Aliyepigwa ni mwenyekiti wa jukwaa la wahariri lakini hao wanachama wake wanamshabikia muuaji wao
MLETA UZI NI NDEZI ASIYE MCHAMBUZI WA MAMBO,SIO MWELEWA MBAYA ZAIDI HAJITAMBUI ANACHOJALI NI KUJAZA MIKOJO NA CHOO MWILINI MBAYA ZAIDI SIO MPENZI WA KUSOMA VITABU WALA MAGAZETI,NI WALE WATU WANAOSHANGAA MPIRA DAK 120 LAKINI YEYE KATU HAFANYI MAZOEZI YA AINA YEYOTE NA ANAONEKANA ANAJUA KINACHOENDELEA NA ANAKIFURAHIA VIBAYA AKIFIKIRI WATANZANIA WA LEO NI WAJINGA WA KUNG'AA SHARUBU NA KUJIKUNA UPELE HUKU MALI ZIKIPORWA NA MAISHA YAKITEKETEZWA NA KUTELEKEZWA KWA KILA NAMNA ,ENYI MLIOVAMIA NA KUJIPANGA HUMU KUNAKO MITANDAO Watanzania SIO WAJINGA KIASI HICHO WANAJUA KILA KITU PAMOJA NA HILA ZENU ZA KUKOROGA BONGO ZAO LAKINI WAKO MAKINI NA WANAFUATILIA MOVIE KIMYAKIMYA(ogopa watu wanaofukuza mwizi kimyakimya wakimshika huyo ni halali kwa panga,nondo,mawe na hata kibiriti cha moto).Magamba hamna hoja kabisa na mnatumia akili ndogo kwenye masuala mazito.Hivi wale polisi waliomuua mwangosi walitumwa na CHADEMA? Watu waliowahi kumwagia tindikali Saed Kubenea na hatimaye baadae kulifungia gazeti la MwanaHalisi ni CHADEMA? Hivi aliyemshitaki Kibanda kwa 'uchochezi' alipolikosoa jeshi la polisi ni CHADEMA? Hivi Mhe.Bernard Membe aliyekiri ITV kuwa ana waandishi wa habari wawili ana bifu nao na kuahidi kuwashughulikia ni CHADEMA? Tuambie kada wa CCM aliyemtemea mate mwandishi wa habari 2012 kule Mufindi alitumwa na CHADEMA? Na yule aliyewahi kuwa mwandishi/mtangazaji Amina Chifupa aliyetaka kuwaumbua makada wa CCM kabla ya kuawawa kwake,je ni CHADEMA? Kama una akili timamu utagundua huhitaji degree ya metaphysics kujua adui wa mwandishi wa habari ni nani!
Nataka kuwaiti je, wanahabari baadhi wataendeleza ushabiki wao kwa Chadema badala ya kuwa objective Kama taaluma inavyowataka? Nimeona udhaifu mkubwa kwao kushabikia zaidi Chadema kinyume cha mipaka yao ya kazi. Let's stay tuned
Kwa maana hiyo matukio dhidi ya wanahabari ni mkakati maalum ili wakichukie CHADEMA?
wanachopaswa ni kuripoti kile kinachotokea sio wanachotakiwa na chadema kukiripoti na hapo ndio jamii inapowaona kuwa wamekosa weledi badala yake njaa imewazidi..hawaaminiki tena
wanachopaswa ni kuripoti kile kinachotokea sio wanachotakiwa na chadema kukiripoti na hapo ndio jamii inapowaona kuwa wamekosa weledi badala yake njaa imewazidi..hawaaminiki tena
kuna wash.... wachache wanachelewesha ukombozi wa taifa hili toka kwa manyangau walewale miaka nenda rudi kwasababu tu wao wananufaika mbaf. sana.
sasa hivi anafuata nani kwenye list yenu ya utekaji?Wanahabari wanashabikia ukweli hawashahabikii Chadema, chunga kauli mufilisi kama zako!
sasa hivi anafuata nani kwenye list yenu ya utekaji?
Ya shônza yalikufa ndani ya siku tano tu, kudadadek! Hili la lwakatare mpaka tar 1 mwezi ujao litakuwa kama halikuwepo, mlidhani walipomfukuza Nchimbi walikuwa wanataniaHii ishu imekuwa kama ile ya shonza, walikuwa wanaripoti ya chadema tu lakini madai ya shonza hakuna gazeti wala tv iliyoonyesha,,,njaa mbaya sana
Hii ishu imekuwa kama ile ya shonza, walikuwa wanaripoti ya chadema tu lakini madai ya shonza hakuna gazeti wala tv iliyoonyesha,,,njaa mbaya sana
Waandishi wa habari sio wajinga kama unavyofikiria wanajua ukweli na adui wao siku zote ni nani ndio maana TV zimesusia kuipa coverage habari hii imebaki Cloud TV peke yake.Nipo makini kufuatilia mwenendo wa media katika hii kamatakamata ya watuhumiwa wa kutekwa, kuteswa na kuumizwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda, na kuteswa wanahabari kwa ujumla wao kwani haijulikani nani atafuatia kung'olewa kucha na jicho baada ya Kibanda.
Nataka kuwaiti je, wanahabari baadhi wataendeleza ushabiki wao kwa CHADEMA badala ya kuwa objective Kama taaluma inavyowataka? Nimeona udhaifu mkubwa kwao kushabikia zaidi CHADEMA kinyume cha mipaka yao ya kazi. Let's stay tuned.
Nipo makini kufuatilia mwenendo wa media katika hii kamatakamata ya watuhumiwa wa kutekwa, kuteswa na kuumizwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda, na kuteswa wanahabari kwa ujumla wao kwani haijulikani nani atafuatia kung'olewa kucha na jicho baada ya Kibanda.
Nataka kuwaiti je, wanahabari baadhi wataendeleza ushabiki wao kwa CHADEMA badala ya kuwa objective Kama taaluma inavyowataka? Nimeona udhaifu mkubwa kwao kushabikia zaidi CHADEMA kinyume cha mipaka yao ya kazi. Let's stay tuned.