Kabla ya kucomment bora tukafikiri kwanzaWafutwe kazi na wapelekwe mahakamani washenzi wakubwa
Mahakama ya upeoWapelekwe Supreme Court
samwel ngomaSijaona sehemu iiyohusisha dini ya walimu ila angefanya mwarabu kwa giza mgeona balaa lake humu
kuna shule dogo mmoja aliweka mzigo kwenye maharage yakiwa kwenye bakuli,wenzie wakaja kuiba wakala wakidhani yana peanut butter, dogo alifukuzwa shule
Sisi ilikuwa pedi zilizotumika zimelowekwa kwenye ndoo, zimekorogwa,mnapanga mstari kila mmoja anazamisha mkono wa kulia.
Jamani,sikula siku hiyo.
Mmmmh ujinga gani huu unao zungumza hapamartha jummanne wamekusikia
Jijibu mwenyeweMmmmh ujinga gani huu unao zungumza hapa
Ipo haja walimu wa huko kupimwa akili kwa dharura maana kuna upepo unaashiria hali ya hatari baada ya tukio la mauaji yaliyofanywa na Mwalimu majuzi kwa familia yake mwenyeweTukio la kikatili limeripotiwa kutokea Septemba 7, 2022 majira ya asubuhi Shule ya Sekondari Songwe, Kata ya Bonde la Songwe kwa wanafunzi wa kidato cha pili na cha nne waliopo shuleni hapo kwa maandalizi ya mitihani ya Taifa.
Inadaiwa kuwa walimu wa shule hiyo ambao kwa majina ni Lugongo, Kasambala, Jengela na Geazi walikuta kinyesi cha binadamu kwenye mojawapo ya madarasa ya shule. Baada ya wanafunzi wote kuulizwa na kukana kufanya kitendo hicho, walimu hao waliamuru wanafunzi wajipange mstari kwa lazima, kisha kuwalazimisha kila mmoja kushika kinyesi kile kwa mikono kama sehemu ya adhabu.
Wanafunzi walio kataa kufanya kitendo hiki walikuwa wanapigwa hadi wakubali, na walimu hao walitoa onyo kali kuwa ikitokea siku nyingine kitendo kama hiki kitatokea tena, siku hiyo wote hawatalala na kinyesi hicho kitapakwa usoni kwa kila mmoja wao kama mafuta.
Bora kushika pedi kuliko mavi aiseeSisi ilikuwa pedi zilizotumika zimelowekwa kwenye ndoo, zimekorogwa,mnapanga mstari kila mmoja anazamisha mkono wa kulia.
Jamani,sikula siku hiyo.
Yupo sahihi, tena sisi watanzania ni weusi zaidiKuna mtu nimeona huko ameanzisha thread watu weusi hawana akili sijui kawaza nn, kumbe inafikirisha 😆 😆
Nimesha kujuaJijibu mwenyewe
kuna shule dogo mmoja aliweka mzigo kwenye maharage yakiwa kwenye bakuli,wenzie wakaja kuiba wakala wakidhani yana peanut butter, dogo alifukuzwa shule
Waliunganisha umeme juu ya dari/sehemu ya kuchajia simu, kitu kikapiga shoti bweni likaungua...Hivi na waliocharazwa viboko na RC ilikuwa Mbeya???