DOKEZO Wanafunzi zaidi ya 100 Mkoani Mbeya walazimishwa kushika kinyesi cha Binadamu kwa mikono na walimu wao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sisi ilikuwa pedi zilizotumika zimelowekwa kwenye ndoo, zimekorogwa,mnapanga mstari kila mmoja anazamisha mkono wa kulia.

Jamani,sikula siku hiyo.
 
Sijaona sehemu iiyohusisha dini ya walimu ila angefanya mwarabu kwa giza mgeona balaa lake humu
 
Ipo haja walimu wa huko kupimwa akili kwa dharura maana kuna upepo unaashiria hali ya hatari baada ya tukio la mauaji yaliyofanywa na Mwalimu majuzi kwa familia yake mwenyewe
 
Ni jambo la kawaida sana Sema Mizazi ya kipindi hiki inajisahaulisha maisha ya shule ya msingi miaka ya 2000 kurudi nyuma. Tunavunja maadili wenyewe tukiwa na watoto wetu nyumbani, wao nao wakivunja huko shuleni wakipewa adhabu, Tunapiga kelele as if walimu kazi yao ni mona tu kuwafundisha watoto wajue kuandika na kusoma,na si kufundisha nidhamu.


Wazazi na watz tuache kipigapiga kelele, waache walimu wafanye kazi yao kama sisi tumeshindwa kifanya.




PERIOD
 
Imenikumbusha zamani kuna walim walifanya hivi kisa watu wamejisaidia bafuni walifukuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…