gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 637
- 814
Wana jf taarifa nilizozipata kutoka Urusi ni,
Wanafunzi watanzania waliohitimu shahada zao mwaka huu(june 2011) katika chuo kikuu cha urafiki(Lumumba)nchini Urusi chini ya udhamini wa serikali ya tanzania kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu,wamenyimwa kupewa vyeti vyao kutokana na serikali ya tanzania kushindwakulipa ada zao za masomo,mpaka sasa wanadaiwa jumla zaidi ya dola za kimarekani $12000.
Baada ya juhudi kadhaa kufanywa ktk kufuatilia fedha hizo serikalini,walikuwa wakipigwa chenga na kupewa majibu yasiyo ridhisha kabisa.
Wanafunzi wanataka kuondoka na kurudi Tanzania na kuviacha vyeti vyao vikiwa vimeshikiliwa na chuo.kazi kwelikweli!.
Wanafunzi watanzania waliohitimu shahada zao mwaka huu(june 2011) katika chuo kikuu cha urafiki(Lumumba)nchini Urusi chini ya udhamini wa serikali ya tanzania kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu,wamenyimwa kupewa vyeti vyao kutokana na serikali ya tanzania kushindwakulipa ada zao za masomo,mpaka sasa wanadaiwa jumla zaidi ya dola za kimarekani $12000.
Baada ya juhudi kadhaa kufanywa ktk kufuatilia fedha hizo serikalini,walikuwa wakipigwa chenga na kupewa majibu yasiyo ridhisha kabisa.
Wanafunzi wanataka kuondoka na kurudi Tanzania na kuviacha vyeti vyao vikiwa vimeshikiliwa na chuo.kazi kwelikweli!.