mi mina jamaa yangu aliwahi kupiga kitabu huko lakini nashindwa kumpasha habari kwani tangazo lenyewe halieleweki.... unasemawaliosoma au wanaosoma? nijuavyo mimi, wanafunzi maana yake bado wanasoma..... halafu tarehe, mwezi mwaka, saa, nk. vyote hakuna