Goguryeo
JF-Expert Member
- May 17, 2019
- 2,503
- 4,502
kisa nn ulikimbiaWazee wa LITA BUHURI wahitimu wa Diploma nawaZoom tu Niliwakimbia hapo 2017
Mishe za hela mkuukisa nn ulikimbia
Ilikuaje mkuu!matatizo ya ada au ulipata michongo mingine...Mishe za hela mkuu
Yaan, kuna michongo ya pesa ilitokeaIlikuaje mkuu!matatizo ya ada au ulipata michongo mingine...
hakuna ajira nyie kasomeni tuuu intake ya mwisho kuajiriwa ilikuwa 2013 nakumbuka nilkuwa madaba campas baada ya hap kilichfuata nivumbi hajawahi kutangazwa ajra mpk sasa ila kasomeni mkue ila kutegemea ajirra serkalini ila halipoMaombi walituma Lin mbona wamewahi sana na vipi vile vyuo vya kilimo lini yanatolewa majina waliochagulia?
Kila MTU mwenye akili timamu anajua hili kuwa CCM hawataki kutoa ajira ila sio wote wana mindset za kuajiriwa kumbuka hizi ndio kozi mzuri sana kwa kujiajirihakuna ajira nyie kasomeni tuuu intake ya mwisho kuajiriwa ilikuwa 2013 nakumbuka nilkuwa madaba campas baada ya hap kilichfuata nivumbi hajawahi kutangazwa ajra mpk sasa ila kasomeni mkue ila kutegemea ajirra serkalini ila halipo
Sio wote wenye akili za ajirahakuna ajira nyie kasomeni tuuu intake ya mwisho kuajiriwa ilikuwa 2013 nakumbuka nilkuwa madaba campas baada ya hap kilichfuata nivumbi hajawahi kutangazwa ajra mpk sasa ila kasomeni mkue ila kutegemea ajirra serkalini ila halipo
kama unaweza kujiajjjjiri mkuu si ungeajiajiri sasa hvSio wote wenye akili za ajira
Hyo ni fani kijana, sasa kuna ubaya gani mtu kupata fani akajiajiri..kama unaweza kujiajjjjiri mkuu si ungeajiajiri sasa hv
uwezi elewa vitu kibao tu uwaga tunasomaIvi uko kwenye vyuo vya mifugo mnasomaga nn, mbona wafugaji ni mama zetu nyumbani, nyie mkitoka mnaendaga wapi
nakushangaa ambae hadi leo unalalamika ajira na umesoma mifugo kumbuka ww unasoma mambo mengi na mengi unaweza kujiajiri mtaani miaka 7 unawaza ajira za mifugo je ukipelekwa utalipwa bei gani kijanahakuna ajira nyie kasomeni tuuu intake ya mwisho kuajiriwa ilikuwa 2013 nakumbuka nilkuwa madaba campas baada ya hap kilichfuata nivumbi hajawahi kutangazwa ajra mpk sasa ila kasomeni mkue ila kutegemea ajirra serkalini ila halipo
haya kasome mkuu ukimaliza uje utupe mrejeshonakushangaa ambae hadi leo unalalamika ajira na umesoma mifugo kumbuka ww unasoma mambo mengi na mengi unaweza kujiajiri mtaani miaka 7 unawaza ajira za mifugo je ukipelekwa utalipwa bei gani kijana
Haha nashkuru..umenisaidiaIvi uko kwenye vyuo vya mifugo mnasomaga nn, mbona wafugaji ni mama zetu nyumbani, nyie mkitoka mnaendaga wapi