wanafunzi wakataliwa chuo kikuu dodoma

wanafunzi wakataliwa chuo kikuu dodoma

hao madogo wanajichanganya utaendaje chuo bila admission letter? ilitakiwa wawe na admission letter Ndio unapokelewa na hutolewa automatic kwenye website ya chuo na kama hujapata unapiga simu chuo ili waweze kuiruhusu na kutoka.
Kama walikimbilia chuo wanafikili na advance itakula kwao kwa sababu hawapewi kitu chochote hapa chuo

= wanafikiri
 
hao madogo wanajichanganya utaendaje chuo bila admission letter? ilitakiwa wawe na admission letter Ndio unapokelewa na hutolewa automatic kwenye website ya chuo na kama hujapata unapiga simu chuo ili waweze kuiruhusu na kutoka.
Kama walikimbilia chuo wanafikili na advance itakula kwao kwa sababu hawapewi kitu chochote hapa chuo

issue ni ubovu wa nacte kutokupeleka majina chuoni kwajili ya cormfimation!!!! ebu wafanye haraka watoto wakasomee
 
Makosa ni yao,SBB uchaguz wao Udom ulitegemea confirmation toka udom,lilikuwa jukumu lao kuangalia batch zote za chuo husika ka majina yao yamo,na kama hayapo katika batch zote,wangeenda udom kufuatilia kabla ya kuripoti,Nacte ukiwahoji watakwambia washamaliza jukumu lao.
 
Tatizo ni la udom baada ya kuwa selected to udom wanaona wote walio chaguliwa hapo hivyo walitakiwa ku toa mapema majina ya wakiowakataa na kuyarudisha nacte but wamekaa kimya
 
Mkuu bora ungeandika tu kwa kiswahili,
hivi siku hizi vijana mna andika nini...?
kuna mwingine naye nilimsikia juzi kwenye
taarifa ya habari akisema kama ulivyoandika
pale ofisi za HESLB maeneo ya mpakani.
yaani nilichoka kweli kweli , yaani msomi
wa chuo kikuu una jiita kuwa wewe ni "continous student"
shame on u.
sasa hapo kisichoeleweka ni kitu gani??
 
naam hata mm bado sijapata admission letter ndyo naisubir japo wap hata simu hawapokei udom!
 
kwen walivyokuwa wakiunga mstari kupiga kura walijua nifolen ya kuingia class ama HAPA KAZI TU

Kuna watu wengine amna akili hadi mnaboa, asa mambo yakura yamekujaje hapa chuo chochote hu sajiliwi bila kuwa na kitu cha kuthibitisha..

Uwe unafikiria sio kujiandikia ili uonekane aagh
 
admsion letter za udom mpaka majina yaletwe kutoka nacte ndo unazipata,,, hivyoo saaasa kutoka na kuwepo kwa ubovu wa mawasiliano kati ya nacte na udom ndo leoo hii watoto wanapata tabuu kwenye miji yawatu

Nami pia sijapata admission wala joining na mda ushafik na kesho naenda kama ni kurud itajulikana mbeleeeeee
 
habari zenu wakuuu,,,,

inasikitisha saana kuona watoto wanafika chuoni na kukataliwa kuwa hawatambuliki, hii ni baada ya wanafunzi waliochaguliwa kupitia nacte kutokutambulika na uongozi wa chuo kikuu dodoma.

nauliza ni kwanini nacte mnawatesa watoto kiasi hiki kwakutopeleka majina chuoni leoo hii wanataka kuandamana katika ofisi zenu kuja dar,

mheshimiwa raisi dk magufuli naomba uangaliee hili swala kwa umakini maana watoto wameshakata tamaa kabisaaa, nina imani mtawaskiliza kilio chao na haki zao wapatiwe.

kazi njema,.

Utaratibu wa kuripoti vyuoni unawataka wale waliochaguliwa nanNACTE au TCU kusubiri majina yathibitishwe na chum husika. Tariff zilizopo ni kwamba senate ya UDOM haijakaa kupitia na kuyathibitisha majina hayo. Sasa hat waliokwenda kuripoti wamepata wapi maelekezo hayo? Maelekezo ya NACTE hayawaagizi kwenda kuripoti, na unakwendaje bila hata joining instruction?
 
Inasikitisha sana jamani nacte wanakupangia chuo udom wanakutema yaaaami kazi sana lakini namuomba mheshuwa mzeee wa hapa kazi tu akawasalimie Nacte pale wanasoma magazeti sana
 
hao nahisi hawaku thibitisha ndo maana wakafanyiwa hivyo kwa sababu si rahisi sana NACTE kuteua majina half UDOM yasiwepo maana katika account ya UDOM ilibidi wasibitishe kwanza halfu ndo utaratibu wa kuchukua ADDIMISIN LATTER zifuatie.. na hao pia walikosea kwa sababu kwa nini huend CHUO bila kuwa na kielelezo chako cha utambulisho Ambayo ni ADDISION LATTER YAKO.
 
Ndugu zangu ngoja niwape taarifa fupi, mimi nilikua selected Udsm lkn nikaambiwa nisubir confirmation kutoka chuoni, mwisho wa siku nikaenda Udsm wakasema hawanitambui wao wanachukua mtu kuanzia c Tatu na d mbili form four haijarish diploma umepata nini, baada ya hapo nikaenda Nacte kuomba transfer, ndo nikapata Saut University mwanza nasasa nipo hapa, kibaya Zaid Nacte walisema Udsm, Sua, Ardhi na Udom huwa wana reject wanafunzi. Ukitaka Zaid nichek 0782444579 upige no deep
 
Back
Top Bottom