FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
hao madogo wanajichanganya utaendaje chuo bila admission letter? ilitakiwa wawe na admission letter Ndio unapokelewa na hutolewa automatic kwenye website ya chuo na kama hujapata unapiga simu chuo ili waweze kuiruhusu na kutoka.
Kama walikimbilia chuo wanafikili na advance itakula kwao kwa sababu hawapewi kitu chochote hapa chuo
= wanafikiri