Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
akuna serikali isiyo na matatizo na pengine kwa afrika mashariki tanzania inaongoza kila sekta
kwa upande wa elimu bomu kubwa limeangukiwa wizara hii pale walipopewa bomu lililoishinda wizara ya miundo mbinu na saasa limeamia elimu
Ok nije kwenye mada hapo juu..ndugu wapendwa ni kweli waweza kusema chuo kimevamiwa na watoto walio na umri mdogo sana ndio maana hata humu jf wanamizaha kupita uko nyuma
embu jiulize wanataka nauli ipunguzwe iwe 250
kule dom wanataka kila mwanafunzi awe na laptop
wapi utapata hili ndugu zanguni kuweni makini na migomo ya kijinga muulizen zito awape njia za migomo kudai haki zenu mpaka
kwa upande wa elimu bomu kubwa limeangukiwa wizara hii pale walipopewa bomu lililoishinda wizara ya miundo mbinu na saasa limeamia elimu
Ok nije kwenye mada hapo juu..ndugu wapendwa ni kweli waweza kusema chuo kimevamiwa na watoto walio na umri mdogo sana ndio maana hata humu jf wanamizaha kupita uko nyuma
embu jiulize wanataka nauli ipunguzwe iwe 250
kule dom wanataka kila mwanafunzi awe na laptop
wapi utapata hili ndugu zanguni kuweni makini na migomo ya kijinga muulizen zito awape njia za migomo kudai haki zenu mpaka