Wanafunzi wa vyuo vikuu mkue jamani acheni utoto!!!

mko sahihi vijana! utasomaje computer bila kuwa nayo? piganieni haki yenu bana alah!!
 
laptop??hao lecturers wenyewe wapewa laptop??au wanajinunulia wenyewe?jamani labda mseme computer lab. hapo inaeleweka ila laptop hilo nakataa, utakuwa ni ufisadi mkubwa sana. Hata ulaya wanafunzi na wahadhiri wote wananunua laptop zao wenyewe. iweje tanzania?ombeni computer lab na sio vingenevyo. acheni kuleta mambo ya aibu hayo hata kwa wafadhili wa nchi yetu.
 
migomo ya vyuo vikuu miaka ile ilkuwa ni kuishinikiza serikali kufanya mabadiliko kwa manufaa ya nchi lkn siku hizi migomo ni kwa manufaa ya mwanafunzi. watoto hawaambiliki kabisa wakishafika mwaka wa kwanza ndani ya miezi 2 tayari nao wanaitisha mgomo. Serikali ina makosa na wanafunzi nao pia kwanini iwe ni baadhi ya vyuo tu inamaana hao wengine hawana shida?

ushauri: tafuteni njia ya kistaarabu kudai haki zenu kama wenzenu wa miaka ile
 
SMU idea yako ni nzuri lakini si endelevu. Hawa wanafunzi wanaingia chuo kila mwaka. Kwahiyo serikali kila mwaka iwe inanunua laptops? Mie nadhani wao kama hawana vitu vya kufundishiwa kama Maabara ingekuwa rahisi kuelewa tatizo ni nini. Hivi kweli katika elimu yetu priority inaweza kuwa laptop kwa wanafunzi wa Informatics? Umuhimu wa ICT unafahamika tena kwa kila mtu, kununua computer ni moja ila cha msingi professional yoyote inahitaji jitihada binafsi kujiendeleza. Vinginevyo, wanaosoma kilimo watadai matrekta muda si mrefu na wale wa mifigo sijui watadai nini au wanapewa nini. Tujifunze kujitafutia uwezo na si kuwa tegemezi.
Kwani kwenye fomu za mikopo hicho kipengele sie kipo?
 
Lab za computer ziboreshwe na ziwe na usimamizi mzuri na technician kwa hapa udsm zaidi ya nusu ya computer ni mbovu,loptop kwa kila mwanachuo ni mzigo kwa serikali.
 
Jamani laptop ni kiasi gani kama una nia ya kumpa elimu bora mtanzania anayesomea computer au kitu kiendanacho na computer? Kama vile daktari anapopewa vitu kama stethoscope, na mtu anayesoma vitu viendavyo na computer kwake laptop au pc si anasa. Labda kama tungesema kila mwanafunzi anayesoma history, lugha n.k apewe laptop au pc ingekuwa anasa. Japo nao pia wanastahili, na haitotuingia gharama kubwa kama misamaha ya kodi na mikataba mibovu ituingizavyo mkenge.
 
<br />
<br />
Huu ni utoto kwakweli. Hivi nani kakwambia laptop na faculty requirement? Laptop ni basic needs kwa kila mwanafunzi haijalishi anasoma nini. Unless muombe kuwekewa maabara maalum kwa ajili ya computer. Yaani utakuwa upuuzi wa hali ya juu kama chuo kitaanza kutoa laptop kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu. Ni mzigo usiobebeka. Nanyi wanafunzi hebu fungueni akilini zetu, jitahidi kufikiria zaidi ya utegemezi.

hivi hiyo programming imeanza mwaka huu ama ni kwamba nyie mmekujana mbinu mpya sie tuliesoma programming tulisomea mitini pale chini kwenye zile concrete UDSM ambazo leo mmefanyia sehemu ya kutongozea wanafunzi wa sec wanaoukuja kujisomea maskini bila kujua na wao wana hamu ya kufika kama nyie mlipofika huko ...loh
 
Pdidi nakubaliana na kauli zako,angalia jinsi mwanachuo mmoja alivyokujibu hapa chini, unaweza ukacheka au ukalia

mkuu ivuga nimemjibu hapo juu na kwa kumsaidia aende kuuliza vizuri hiyo course ikoje enzi za wakina PROF MAYO NA MBWETE kama angetoka
tatizo hawana adabu wanahamiahumu jamvini kama sehemu ya kutatua matatizo yao ya kipuuzi we laptop babako aaache kukunulia uje kudai chuo na wengine ndugu wako kwenye mkumbo wametoka kwenye familia ngumu sana na ndio maana kama sisi wakati huo wazee wetu waliuza pete ili tusome tulikuwa na adabu mpaka tumalize chuondio tupige porojo..akamuulize zitto kabwe kwamsaada zaiidi wasijeingia choo cha kike
 
Kama umeliona hizo, basi fanya hivi: Iambie serikali yako ifutilie mbali nafasi za wabunge woooooteeee wa kuteuliwa. Hizo gharama za hao wabunge wa kuteuliwa ambao ni mzigo mkubwa sana tena sana kwa nchi zitatosha kabisa kuwasomesha hawa vijana.
Thanks

mwissho wa siku utasema lifutwe baraza la mawaziri loooteeee garama ziende vyuoni nyie watoto narudia tena mkue wapenzi wengine tuko kazini si kwamba atujateseka tumeteseka sana kuna huyo anaongelea programming elimu ya sasa anacream proograming akukutana na wataalamu wa udsm thosedays kunamwalimu wa computer mhaya ishengoma huyu angekujulisha unachosema ...alikuwakichwa cha mtoto wa dadke wa kuzaliwa kwa ajili ya upuuzi unaosema wewee
 
Naona Pdidy umefilisika kimawazo kwa kweli, manake upeo wako wa kuyaona mambo ni sawa kabisa na mtoto wa darasa la pili. Hata hao unaowaita watoto kule UDOM wanafikiri mbali sana kuliko wewe. Suala la laptop kwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu ni jambo la kawaida sana. Hebu tazama nchi jirani ya Rwanda wanafunzi had wa shule ya msingi wanapata laptop bure. Hata kwa Tanzania hilo linawezekana. Achana na mawazo mgando, amka sasa.

Nafikiri nikusaidie tu ndugu kwanza watake radhi wana jf.nimekaa kigali miaka miwili na kwakukuakishia hizo computer unazosema ziko madarasani na si watoto kupewa waende nazo ndio maana mmoja wenu amewasaidia swala si kugoma upewe laptop nenda goma watengeneze zile zilizopo lab mnazosema azifanyi kazi mkiona kuna upungufu gomeni ziongezwe waweke humo lab..na si kwenda nazo majumbani jamani mnatia aibu mwishowe mnapewa mantujazia picha zongono mnaishia kuangalia pono hadikwenye madalala bila aibu kama mwanafunzi mmoja wa alipanda basi la posta mwenge jumamosi iliopita tena wa udsm shame on you.akawa anaangalia picha za ngono pembeni kuna mwanamke wake nafikiri alijisahau akaongeza sauti ikapiga sauti ya mahaba kabsa gari zaima wakawaona stupid nakama upo humu ndanii shame on you again and again
nasema nenden mkasome mpate kazi mnunue laptop zenu
msomeshwe kwa mkopo
mpewe laptop kwa mkopo
mdese kwa mkopo
mwisho mtaomba
muozoeshwe kwa mkopo
mpangishiwe nyumba kwa mkopo
uoni una laana ya mkopo
na mwisho wa siku unakufa familia yako inaishi kwa mkopo kama si kuteseka na madeni yako
 
Kweli tupu... wanahitaji laptop ili wajiunge FACEBOOK.... KICHEKESHO.... Ivi hawa ndio wasomi wakwanza eehhhh... Yaaani wapuuzi kweli

nadhani umekosea hawa nia wapumbaaaaaaaaaaaaaaaaaavuuu unajua wapuuzi wakielekezwa wanawezwa kubadilika sasa unayoona mawazo yao umo ndani ndio kikomo cha ufahamu wao ndio manaa elimu ya sasa wangi wamejisalijili na desaring comp ltd
wakue ata kama awataki pengine mujue mabinti wa sasa kuwanasa kwa laptopo ningumu sana sana mwakaule loh tena unawaambia ina video kumbe umeweka flash inaonyesha movie na wengine wameolewa kwa ajili ya laptop ,,,mi nilifikiri mngekuja na mawazo ya kwanini wengi wenu mmesoma kwenye mawe na si madawati na nini cha kuffanya muweze kusaidia wale anaokuja nyuma yenu wasome kwenye madawati..pengine mada hii ingewasaidia kutufumbua jinsi gani tutawajaza wanafunzi vitabu wakasome nyumbanimwao nyie mnataka kujazwa ma laptop wengine hata umeme kwenu shida na hivi mgao ndio mnachekelea kifo cha mende sio nakusema ndio hali halisi hata mimi nimekua huko ....nimesoma pugu sec na wakati mzazi wangu anaahamia akunaumeme tulikuwa tunashinda shulesio tunataka bali kuangalia njia gani itatufikisha kuanzi PUGU-UDSM
Wengi wenu mnajua mkifika vyuoni mmemaliza kazi badoooooooooo njoooni mwone kama ajira zingine zinaangalia una vyeti gani wala watu wanatuma cv kwenye email asbh wako kaziini .sasa hayoo ni achilia mbali changamoto za familia ukija kuoa na ndio maana ni wengi mnaogopa kuoa sio kwamba uwezo bali mnaogopa majukumumshazoea laptop na sasa unafikiria kodi utapataje na ukifanikiwa mtoto ndio unakimbia kabisa nyumba...kila la kheri embu tuiangalie serikaliwatusaidie jamani kurekebisha madawati na vitabu kwanza vya huko chini nyie waachien amdogo waje kupewa laptop siku zijazo

byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Napendekeza uongezwe umri wa kuanza shule iwe kuanzia miaka 10 kwa darasa la kwanza. Hii itasaidia watoto wetu wafikie chuo wakiwa na akili zilizotulia kidooogo! Kwani watoto wa chuo siku hizi ni watoto hasa!
 
Nyinyi hamjui hasa kitu gan wana demand hawa vjana: hela zao za special faculty requirements sh. 350000 zmeliwa,walipojaribu kudai wakaambiwa wanadai laptop,.tafuten ukwel ndo mcoment,wa2 wengne ka wanatumia makalio kufikiria
 
Nyinyi hamjui hasa kitu gan wana demand hawa vjana: hela zao za special faculty requirements sh. 350000 zmeliwa,walipojaribu kudai wakaambiwa wanadai laptop,.tafuten ukwel ndo mcoment,wa2 wengne ka wanatumia makalio kufikiria

wewe ni wakutujibu hivi kweli?, mimi nimesoma mambo ya computer nje ambapo nimespecialize kbs na si general comp kama hiyo ya udom na huko kuna wanafunzi hawakuwa na hizo laptop wala pc mdogo wangu walikuwa wakitumia comp labs kufanya projects zao.

next time mtadai na software mnunuliwe eg kama visual prolog, spss ambazo bei yake jumla ni sawa na laptop ya dell/acer. Tatizo watoto mnajiona mmesoma sana sijui walioweka comments hapa wakiamua kuweka education levels zao itakuwaje
 
wewe ni wakutujibu hivi kweli?, mimi nimesoma mambo ya computer nje ambapo nimespecialize kbs na si general comp kama hiyo ya udom na huko kuna wanafunzi hawakuwa na hizo laptop wala pc mdogo wangu walikuwa wakitumia comp labs kufanya projects zao. next time mtadai na software mnunuliwe eg kama visual prolog, spss ambazo bei yake jumla ni sawa na laptop ya dell/acer. Tatizo watoto mnajiona mmesoma sana sijui walioweka comments hapa wakiamua kuweka education levels zao itakuwaje
mbona sijaona jinsi ulivyojibu hoja yangu,usinitishie na kusoma kwako nje wala hakujakusaidia chochote,me nilichofanya ni kuweka ukweli kuhusu madai ya wale vijana na sio watu kuskiza habari zilizofanyiwa u-spin doctor,..kweli nimeprove unatumia makalio kufikiria.
 
Back
Top Bottom