Tommy 911
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 538
- 359
Rejea kichwa Cha habari hapo juu.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza(degree) nasoma bachelor of science in chemistry. Nahitaji msaada wa maeneo ya kufanyia field nikifiki mwaka wa pili Kwani mwaka wa kwanza nilipata shida kupata hivyo kwa wanafunzi wanaosoma hii course udom au udsm na laboratory technology dit naombeni msaada wenu nijue ni maeneo gani mnayofanyiaga ili mnipe connection niwezi pata kwa urahisi ( mkoa wa Dar es Salaam tu ).
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza(degree) nasoma bachelor of science in chemistry. Nahitaji msaada wa maeneo ya kufanyia field nikifiki mwaka wa pili Kwani mwaka wa kwanza nilipata shida kupata hivyo kwa wanafunzi wanaosoma hii course udom au udsm na laboratory technology dit naombeni msaada wenu nijue ni maeneo gani mnayofanyiaga ili mnipe connection niwezi pata kwa urahisi ( mkoa wa Dar es Salaam tu ).