muke ya muyahudi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 399
- 179
- Thread starter
- #21
I really wish magufuli atumbue hili jipu nimesoma udsm kwa mkopo jamaniii inafika hatua uwezo wa kufanya vizuri unayumba sababu ya usumbufu wa mkopo, sasa wameanza na kudanganya kheee tena kumbe ni amri kutoka kwa magufuli aliwaambia bodi wahakikishe wote walioomba wamepata sasa wameibuka na uongo. .makumira nasikia ndio majangaa wanafunzi hawapewagi mikopo magumashi sana yaan ile hesleb sijui mashetani au wanaokotaka std seven waiendeshe miozo sana ilaaniwe yotee. ..