Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,442
- 4,392
Mtoto wa maskini uliyesoma shule ya kata,wazazi wako wameuza viazi,nta,mchicha na kuponda kokoto wakakulipia ada elimu ya sekondari na sasa umepata nafasi ya kujiunga Chuo Kikuu lakini ndoto yako imezimika ghafla...umenyimwa mkopo na sasa wazazi wako wanalazimika kuendelea kuponda kokoto ili wakulipie masomo yako ya chuo kikuu,mkopo amepewa mtoto wa kigogo wa serkali,tena 100%.BADO TU HUNA UFAHAMU UNAVALISHWA T-SHIRT ZA NJANO NA UNAWASHANGILIA CCM???Amka mdogo wangu,sambaza ujumbe wa mageuzi,saidia kutoa elimu ya uraia,waamshe marafiki na majirani zako ili tuing'oe CCM madarakani,bila kuchukua hatua mtaendelea kuteseka sana