Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 646
- 415
Katika hali ya kushangaza wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma wanatamani chuo kifungwe ili angalau wende kwao wapate kufurahi utu wao.Hii ni kutokana na sababu kuwa serikali kupitia bodi ya mikopo imegoma kuwapa hela za kujikimu wanafunzi hao.Hela hiyo walitakiwa kuipata tarehe 3.5.2012 lakini hadi leo hawajui lini inapatikana.Wiki moja iliyopita uongozi wa chuo uliweka matangazo kuwa bodi ya mikopo haijatuma hela na hawajui lini itatumwa.Hali hiyo inakuja wakati kukiwa na taarifa za hazina ya serikali kuishiwa hela.Hali ni mbaya hasa huku kitivo cha elimu wanafunzi wanashindia viazi vitamu kati ya viwili na kimoja