HAWA wote wawili nimewaacha bongo wakiwa wateja,mpesly sijui kwa sasa yuko wapi,lakini pius yuko mitaa ya kinondoni
Olimpyo yenyewe imeanzishwa juzi juzi miaka y 90 ....sa cjui hiyo olimpyo y 76 ni ipi? ....kwani we upo hai au umekufa?
HAWA wote wawili nimewaacha bongo wakiwa wateja,mpesly sijui kwa sasa yuko wapi,lakini pius yuko mitaa ya kinondoni
duuuh!!!!!!!!Au hiyo avatar ime blow cover yangu-yaani umepiga ndipo-hapo st JOSEPH kwa saaaaaana,huyo faridi nawajua kama watatu,labda ujaze details zaidiSon of Alaska mbona nnakukumbuka. Nilikuwa nikikuona pale myuma ya St Joseph - nyuma ya library. Unamkumbuka Faridi? yuko wapi