wanafunzi Muhimbili wagoma

yah hao waliogoma ni school of medicine and dental issue ni walezi wao i mean deans ni hawawatendei haki and failure rate ya clinical years ni kubwa and problems ni lecturers ARE so harsh . Another thing kuna hela zao za fieldwork DEAN WAO anapanga kuzipunguza kutoka laki 7 hadI LAKI NNE yani huyo dean ana maamuzi as if yeye ndo VC. SOURCE mm nipo muhimbili and nasoma hapa BPHARM
 
This is really bad news kwa serikali yetu naona huu ni mwaka wa shetani
 
Mbona unaleta habari nusunusu? Chanzo cha mgomo ni nini?

Soma hii hapa chini:

mwakabana said:
yah hao waliogoma ni school of medicine and dental issue ni walezi wao i mean deans ni hawawatendei haki and failure rate ya clinical years ni kubwa and problems ni lecturers ARE so harsh . Another thing kuna hela zao za fieldwork DEAN WAO anapanga kuzipunguza kutoka laki 7 hadI LAKI NNE yani huyo dean ana maamuzi as if yeye ndo VC. SOURCE mm nipo muhimbili and nasoma hapa BPHARM
 
Badala ya kugoma wakati wanampa mkuu wa mafisadi degree ya heshima bila kujali alichofanya wakati kina mama wajawazito wanalala chini mahospitalini na vifo vya watoto vyazidi kuindama nchi ....dawa za malaria za kubeep hakuna dawa maalumu kila inayokuja unaambiwa ipo kwenye majaribio!!!!...Wanakuja kugoma sasa!!!
WAMEKUMBUKA SHUKA KUSHAKUCHA HAO.
 
sio mbaya hawajachelewa sana,karibuni kwenye mapinduzi ya kweli....:A S 20::A S 20::roll:
 
yah hao waliogoma ni school of medicine and dental issue ni walezi wao i mean deans ni hawawatendei haki and failure rate ya clinical years ni kubwa and problems ni lecturers ARE so harsh . Another thing kuna hela zao za fieldwork DEAN WAO anapanga kuzipunguza kutoka laki 7 hadI LAKI NNE yani huyo dean ana maamuzi as if yeye ndo VC. SOURCE mm nipo muhimbili and nasoma hapa BPHARM

Teh teh, hizi ni purely internal affairs, ila unaweza sikia "kuna mkono wa chadema"
 
Back
Top Bottom