Hapo ndio penye ukweli. Mapato ya serikali si makubwa, lakini miradi inayo tekelezwa kwa wakati mmoja ni balaa. Kukwepa kuwekeza kwenye elimu ya juu kuna athari kubwa kitaifa mbeleni.Tatizo ni uhaba wa pesa. Hawana pesa za "kumkopa" kila anayehitaji mkopo. So, wanaprioritize wale waliosoma shule za kata, wakiamini kwamba aliyesoma Feza Boys and the like hahitaji kukopwa chochote