wanafunzi wa KIU wamegoma jioni hii kutokana na kero zao kutosikilizwa na management na ghasia hizo zimetulizwa na FFU.
Chuo hiki kina matataizo mengi sana kutokana na kushindwa kuweka mambo sawa kati yao na wanafunzi esp.mfumo wa kulipa ada kwa dola na the way wanavyodeliver education to the students. education which they deliver is very poor compare to the amount of money they take. first of all kila mwanafunzi ana ada yake katika class moja ukitoka nje ya class pia kila student ana ada yake at the same course. then malecturer wa kitanzania ni 5% plus waliopo kwenye management with very low salary in tsh.then waganda na few kenyans wanalipwa kwa dola their salary. apart from that hawataki kusikiliza kero hizo za wanafunzi ila kutoa promise zisizo za kweli every time. wanatunyonya sana hawa waganda na wanatuona wapumbavu it is better wafunge chuo chao waondoke sio kuja kuharibu kizazi kizuri cha watanzania.
Chuo hiki kina matataizo mengi sana kutokana na kushindwa kuweka mambo sawa kati yao na wanafunzi esp.mfumo wa kulipa ada kwa dola na the way wanavyodeliver education to the students. education which they deliver is very poor compare to the amount of money they take. first of all kila mwanafunzi ana ada yake katika class moja ukitoka nje ya class pia kila student ana ada yake at the same course. then malecturer wa kitanzania ni 5% plus waliopo kwenye management with very low salary in tsh.then waganda na few kenyans wanalipwa kwa dola their salary. apart from that hawataki kusikiliza kero hizo za wanafunzi ila kutoa promise zisizo za kweli every time. wanatunyonya sana hawa waganda na wanatuona wapumbavu it is better wafunge chuo chao waondoke sio kuja kuharibu kizazi kizuri cha watanzania.