Wanafunzi kampal intrnational university dar college wagoma

Abibu

Member
Oct 24, 2011
7
1
wanafunzi wa KIU wamegoma jioni hii kutokana na kero zao kutosikilizwa na management na ghasia hizo zimetulizwa na FFU.
Chuo hiki kina matataizo mengi sana kutokana na kushindwa kuweka mambo sawa kati yao na wanafunzi esp.mfumo wa kulipa ada kwa dola na the way wanavyodeliver education to the students. education which they deliver is very poor compare to the amount of money they take. first of all kila mwanafunzi ana ada yake katika class moja ukitoka nje ya class pia kila student ana ada yake at the same course. then malecturer wa kitanzania ni 5% plus waliopo kwenye management with very low salary in tsh.then waganda na few kenyans wanalipwa kwa dola their salary. apart from that hawataki kusikiliza kero hizo za wanafunzi ila kutoa promise zisizo za kweli every time. wanatunyonya sana hawa waganda na wanatuona wapumbavu it is better wafunge chuo chao waondoke sio kuja kuharibu kizazi kizuri cha watanzania.
 
kumbe KIU haina tofauti na IMTU......mpaka watu wagome ndo wanasikilizwa shida zao!!
 
wanafunzi wa KIU wamegoma jioni hii kutokana na kero zao kutosikilizwa na management na ghasia hizo zimetulizwa na FFU.
Chuo hiki kina matataizo mengi sana kutokana na kushindwa kuweka mambo sawa kati yao na wanafunzi esp.mfumo wa kulipa ada kwa dola na the way wanavyodeliver education to the students. education which they deliver is very poor compare to the amount of money they take. first of all kila mwanafunzi ana ada yake katika class moja ukitoka nje ya class pia kila student ana ada yake at the same course. then malecturer wa kitanzania ni 5% plus waliopo kwenye management with very low salary in tsh.then waganda na few kenyans wanalipwa kwa dola their salary. apart from that hawataki kusikiliza kero hizo za wanafunzi ila kutoa promise zisizo za kweli every time. wanatunyonya sana hawa waganda na wanatuona wapumbavu it is better wafunge chuo chao waondoke sio kuja kuharibu kizazi kizuri cha watanzania.
Hii lugha uliyotumia inawakilisha chuo unachosoma!!.Nilikuwa naambiwa KIU ni chuo cha kisanii sasa kwa jinsi ulivyowasilisha hoja yako naungana na wanaosema KIU ni chuo cha kisanii.
Kuhusu ujumbe kwenye hoja yako kama kuna ukweli basi mnayo haki ya kudai haki zenu
 
Back
Top Bottom